Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
sina mie labda waje tena kijiweni,Nipe link pm tafadhali
ni watoto wa mabibo hostel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina mie labda waje tena kijiweni,Nipe link pm tafadhali
Badoo ni mtandao wa nini?Hii ni wrong assumption in the first place. Kwamba wasichana WOTE wa Kitanzania (asilimia 100) walioko badoo wanajiuza?
A very wrong (and uninformed) assumption.
Kijiwe kipo wapi nitie mguu leosina mie labda waje tena kijiweni,
ni watoto wa mabibo hostel
Wakugegedana🤣🤣🤣🤣Badoo ni mtandao wa nini?
Angalia jibu LA Google (see the attached screenshot).Badoo ni mtandao wa nini?
Ni dating site.Badoo ni mtandao wa nini?
Hongera @Dr wansegemilaWakuu salama?
Kuanzia mwezi wa Septemba mwaka huu, niliongoza utafiti usio rasmi juu ya madai ya mabinti wa Kitanzania kujiuza kwenye mitandao ya kijamii ya badoo, tinder na hitwe...
mie nnavyoijua badoo unajua ni mtandao wa MalayaNi dating site.
Kama umemwelewa mhusika aliomba mizigo hakuomba date na wadada wa badoo.
Pole sana.mie nnavyoijua badoo unajua ni mtandao wa Malaya
sijui kuhusu dating site
Hii itakuwa research ngumu kufanya....maana unatakiwa uyashuhudie maisha yao nje na umalaya.
Shukrani mkuuHongera @Dr wansegemila
Acha nikae kimya.. 🤭🤭🤭Maendeleo makubwa hayo ya teknolojia
Ndomana tunisia road ohio street nazo zimekufilia mbali
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Upo sawa kabisa.Sijui kwa Telegram atafanya utafiti gani maana kule kila kitu kipo uchi. Wanafunzi wa vyuo hawajiuzi kwenye magroup labda nimsaidie tu, hao mnaotumiwa sio wanafunzi wa vyuo, wao huwa wanadalaliana wao kwa wao sio kwa kupitia groups.
mie nnavyoijua badoo unajua ni mtandao wa Malaya
sijui kuhusu dating site
Okay! Wanafunzi wa chuo wana danga, wana jirahisi. Hii wengi wao kutoka na ukata wa maisha wawapo mavyuoni. Ila pia huwa kuna kuwa na chawa wao mavyuoni..Kwenye tafiti za aina hii, moja ya Swali gumu kulijibu ni he wanafunzi wanaojiuza kwenye mitandao ni wahitimu/wanafunzi wa vyuo vikuu? Maana ni ngumu kuwa na vigezo ambavyo kwa asilimia 100 vitahakikisha kweli una exclude wasio wanachuo, unless uwaambie wakuonyeshe ID zao au vyeti (which does not make sense in this type of 'business' kuulizana vyeti)
Ndo uache hayo mambo ya kinampanda huko, Dr mzima unaongea uchunguzi mambo ya malaya ,tupe muono kuhusu Corona.Shukrani sana mkuu.
Hao wapigaji.. ki uharisia ukifatilia kwa karibu hukuti mwanachuo.. hao ni matapeli wanatumia wadada wachuo kutangaza ili kuchota akili za wanaume wapenda vya chuo..kuna groups za watoto wa chuo wanajiuza.
Waliopo wanajiuza (lilihitaji uthibitisho) ila badoo ni dating site.mie nnavyoijua badoo unajua ni mtandao wa Malaya
sijui kuhusu dating site
Kweli mjini shuleHao wapigaji.. ki uharisia ukifatilia kwa karibu hukuti mwanachuo.. hao ni matapeli wanatumia wadada wachuo kutangaza ili kuchota akili za wanaume wapenda vya chuo..