Matrillioni ya pesa yanayokusanywa na makampuni ya Bima kupitia mawakala wao ni za serikali au ni za nani?

Matrillioni ya pesa yanayokusanywa na makampuni ya Bima kupitia mawakala wao ni za serikali au ni za nani?

Kama kushurutishwa kulipa thirdparty kutaondolewa hapo sawa, maana halisi ya biashara ndio hiyo , kwamba mnunuzi ana uhuru wa kununua au kutonunu bidhaa / huduma. Lakini serikali inapoanza kushurutishwa raia tena kwa kutumia jeshi la polisi linalolipwa kwa kodi zetu, hiyo inaitwa kodi na si third party tena, na hivyo basi pesa yote inapaswa kwenda serikalini, makapuni yapewe comission tu kwa kazi yao ya uwakala wa kukusanya kodi ya serikali, kama mtu atataka kulipwa bima basi serikali italipa kupitia shirika lake la bima. Hii ni kodi, sio bima, maana ni compulsory!!!!! Trillons and trillions za kodi zinakusanywa halafu hawapeleki seriaklini, why???!!!!
Kuna watu hawajajua kama hoja yako ni hapo
 
Tena ukiangalia kwa makini ni kama state imposed drain of our foreign currency. Most of insurance Companies are foreign companies whose headquarters are either in Nairobi or London. Hili swala liangaliwe kwa jicho la kizalendo.
Kuna ambao hawataona hapa
 
Serikali inachukua asimilia 100 kwenye shirika lake la NIC maana hio ni state owned..sasa serikali ichukue 100% kwenye private institutions yenyewe imewekeza nini? Inaonekana hujui hata nini maana ya biashara...hizo asilimia zingine serikali inakuja kuochukua kama kodi ya corporate tax ambayo ni 30% inayobaki ingine ndo mapato ya hizo private institutions sasa hayo mabanda yako ya mbele yanashindwa hata kuelewa vitu vidogo kama hivyo..kimsingi 30% + 18% = 48% ya mapato inapata serikali wewe uliekimbia shule unataka watu waliowekeza hela zao waipe serikali 100% rudi shuleni..wewe...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wee jamaa mimi nipo upande wako hongera sana tatizo letu ni wakata tamaa mapema sana.
Usijali kuungwa mkono humu simamia mawazo yako mimi Bima siielewagi kabsaa natamani niwe na kesh yangu tu mtu unatatizo uanze tena kufatilia haki yako?
Unajua asilimia kubwa ya watu tunaojibizana nao humu hasa kwenye zile hoja nzito nzito zinazogusa maslahi ya walamba asali ni mamluki tu wanaolipwa pesa ndefu kuja kupangua hoja na kuvuruga mijadala yenye muelekeo ya kuwanasua wananchi toka kwenye mitego ya kibepari na kupunguza ujazo wa asali wanayolamba, inafikia wakati hadi unajiuliza, huyu mtu anawaza kwa kutumia ubongo au anatumia makalio?!🤷🏽‍♂️
 
Hahaha, kumbe hujui maana ya jukwaa, jukwaa haimaanishi kufuata tu mfumo kama ulivyo, bali ni kuoendekeza maboresho ya hiyo mifumo (adjustments) kwa manufaa ya umma at large. Sasa ninchopendekeza ni hiki, bima zote za third party zilipwe serikalini kupitia wakala wa bima wa taifa, na malipo yatafanywa na wakala huyo kwa hao third party. Hayo matrillion yakaboreshe huduma za elimu, afya na miundombinu. Ifike mahala tuache kukopa wakati matrilioni yanabebwa na hawa wenye makampuni ya bima tena ni wageni, wanaenda kuwekeza kwao huko. Pendekezo ni hilo, sheria husika zirekebishwe ku-accomodate mtazamo huu mpya, na radical kabisa!

Kampuni za bima kama ya zilivyo makumpuni mengine are subjected to pay corporate tax and other withholding taxes, huo ndio mchango wake kwa serikali. Sijaweka VAT kwa sababu sio wao wanaolipa. Usidhani wanafaidi sana, wanawajibika kulipa fidia pale linapotokea la kutokea.
Serikali inajiondoa kwenye biashara, ndio maana unaona ufanisi.
 
Kwahiyo serikali ndio anapewa commission asilimia 18 badala ya kuchukua asilimia 100 halafu hao mawakala ndio wapewe commission asilimia isiyozidi 10, si ndio? Unafaidika nini kuwaza kwa kutumia mabanda ya uwani?!

Tax is not charged on revenue but on profit. Realized profit is taxed at the rate of 30%, If you are insured with the foreign coy, then WHT at the appropriate rate is applied on externalized premium
 
Serikali inachukua asimilia 100 kwenye shirika lake la NIC maana hio ni state owned..sasa serikali ichukue 100% kwenye private institutions yenyewe imewekeza nini? Inaonekana hujui hata nini maana ya biashara...hizo asilimia zingine serikali inakuja kuochukua kama kodi ya corporate tax ambayo ni 30% inayobaki ingine ndo mapato ya hizo private institutions sasa hayo mabanda yako ya mbele yanashindwa hata kuelewa vitu vidogo kama hivyo..kimsingi 30% + 18% = 48% ya mapato inapata serikali wewe uliekimbia shule unataka watu waliowekeza hela zao waipe serikali 100% rudi shuleni..wewe...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

NIC serikali inachukua 30% ya profit kama ipo na dividend, sio 100%
 
Muda umefika sasa kodi ya ‘third party’ iende serikalini

Oh My God, third party SiO kodi, ni premium unayowajibika kulipa to cover unexpected events.
Ukisoma bajeti ya mwigulu, hakuna anapoonyesha mapato serikali from third party premium
 
Oh My God, third party SiO kodi, ni premium unayowajibika kulipa to cover unexpected events.
Ukisoma bajeti ya mwigulu, hakuna anapoonyesha mapato serikali from third party premium
‘Third party’ ni kodi iliyofichwa kwenye bima, otherwise haipaswi kuwa compulsory, mtu aamue mwenyewe, ila so as long as traffic police wanashurutisha watu kulipa hiyo kodi, basi iende serikalini, na kama kuna third party basi atapeleka claims zake serikalini kupitia shirika la bima na atalipwa, makampuni ya bima yaoewe tu comission kidogo (10%) kwa kazi yao ya uwakala wa kukusanya kodi ya seriakali. Sheria zibadilishwe ku-accomodate na ku-adapt na wazo hili jipya kabisa, very radical idea and thinking! Thirdparty zote ni kodi ya serikali, ziende serikalini ili tupunguze kukopa kopa nje kama mataahira au wendawazimu!! Sheria ifanyiwe maboresho!!
 
‘Third party’ ni kodi iliyofichwa kwenye bima, otherwise haipaswi kuwa compulsory, mtu aamue mwenyewe, ila so as long as traffic police wanashurutisha watu kulipa hiyo kodi, basi iende serikalini, na kama kuna third party basi atapeleka claims zake serikalini kupitia shirika la bima na atalipwa, makampuni ya bima yaoewe tu comission kidogo (10%) kwa kazi yao ya uwakala wa kukusanya kodi ya seriakali. Sheria zibadilishwe ku-accomodate na ku-adapt na wazo hili jipya kabisa, very radical idea and thinking! Thirdparty zote ni kodi ya serikali, ziende serikalini ili tupunguze kukopa kopa nje kama mataahira au wendawazimu!! Sheria ifanyiwe maboresho!!

Something you have missed or dont know;
All over the world insurance businesses are not monopolised by governments. Privatisation of insurance business has multiple benefits including job creation, fastness in serving customers (no bureacracy) while government remains a regulator (TIRA) etc.
Hizo premium zikienda serikalini kujenga sgr, compensation nani atalipa? Try to argue like someone who has seen books
 
Something you have missed or dont know;
All over the world insurance businesses are not monopolised by governments. Privatisation of insurance business has multiple benefits including job creation, fastness in serving customers (no bureacracy) while government remains a regulator (TIRA) etc.
Hizo premium zikienda serikalini kujenga sgr, compensation nani atalipa? Try to argue like someone who has seen books
Hao mawakala wakiendelea kukusanya hizi Bima na kupewa comission zao bado ajira zao zitabaki palepale na hizo faida zote including taxation kwa income watakayopata kama kampuni bado watalipa kama kawaida. Pia hizi pesa si zote zitaenda kujenga SGR ect, ofcourse NIC watapewa fungu lao kwa ajili ya kulipa hao third party.

Pili, kama dunia nzima ikaamua kuruhusu suala la wanaume kufi-rw@ (ushoga) kwahiyo na sisi turuhusuxkisa dunia inafanya hivyo?! Duniani kote wakiruhusu utoaji mimba (abortion) na sisi turuhusu kisa duniani wameruhusu?
Kisa dunia nzima iliweka lockdown kipindi cha Corona, ulitaka na sisi tujifungie ndani na kuporomosha uchumi wetu kisa dunia nzima imejifungia ndani?!

Jenga hoja objectively na sio kukimbilia kujificha kwenye kichaka cha dunia imefanya hivi au vile..

Ni muda muafaka sasa kodi ya ‘third party’ inayo shuritishwa na traffic police ikaenda serikalini, ifike mahala tuache kukopa kopa kama wendawazimu wakati kuna watu wanakinga kodi zetu kiulaini mno, hasa wahindi na wazungu, wazipeleke serikalini zikaongeze majengo ya kujifungulia huko mahospitalini!
 
Ni vyema hii kodi ya ‘third party’ ikafikishwa serikalini badala ya kuishia mikononi mwa watu binafsi wageni
 
Ni vyema sasa serikali ikaanza kupokea kodi ya ‘third party’
 
Kodi ya ‘third party’ ifikishwe serikalini
Third party insurance sio kodi Mkuu, labda mpaka Serikali ibadilishe sheria. Bima hii inamlinda mtu nje ya mkata bima na muuza Bima (ndio maana inaitwa third party). Gari linapita barabarani, kuna watumiaji wengine wa barabara kama magari mengine, waenda kwa miguu na miundombinu kama nyumba n.k. Hawa ndio wanalindwa na hiyo bima na sio mkataji bima. Kwenye situtation kama hiyo mkataji bima hana incentive ya kukata hiyo bima kwani haimlindi yeye na ndio maana ni compusory, ingekuwa ni hiari wenye magari wasingekata hiyo bima hivyo kusababisha niliowataja hapo juu (third parties) kutolindwa. Hao askari sio kwamba wanashurutisha bali wanafanya law enforcement ambalo ni jukumu lao la msingi, kuhakikisha sheria ya bima inafuatwa. Wazo lako kutaka Serikali ikusanye hiyo hela linazungumzika. Tatizo ni kwamba Serikali ina historia ya ku-mismanage biashara au aina yoyote ya makusanyo, mfano mzuri ni kwenye mifuko ya jamii. Ndio maana watu wako sceptical na hiyo idea.
 
Third party insurance sio kodi Mkuu, labda mpaka Serikali ibadilishe sheria. Bima hii inamlinda mtu nje ya mkata bima na muuza Bima (ndio maana inaitwa third party). Gari linapita barabarani, kuna watumiaji wengine wa barabara kama magari mengine, waenda kwa miguu na miundombinu kama nyumba n.k. Hawa ndio wanalindwa na hiyo bima na sio mkataji bima. Kwenye situtation kama hiyo mkataji bima hana incentive ya kukata hiyo bima kwani haimlindi yeye na ndio maana ni compusory, ingekuwa ni hiari wenye magari wasingekata hiyo bima hivyo kusababisha niliowataja hapo juu (third parties) kutolindwa. Hao askari sio kwamba wanashurutisha bali wanafanya law enforcement ambalo ni jukumu lao la msingi, kuhakikisha sheria ya bima inafuatwa. Wazo lako kutaka Serikali ikusanye hiyo hela linazungumzika. Tatizo ni kwamba Serikali ina historia ya ku-mismanage biashara au aina yoyote ya makusanyo, mfano mzuri ni kwenye mifuko ya jamii. Ndio maana watu wako sceptical na hiyo idea.
Hapa nimepata kita ahsante ndugu
 
Back
Top Bottom