Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kwani waliompiga tundu lisu utasema nao walikuwa na weledi? walikuwa raia wa kawaida? just think beyond your box.Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Huu ni mpango wa CCM mengine ni maigizo tupuTuanzie hapo. Na kama ni wahuni kama tunavyoaminishwa, vyombo vya ulinzi havipo?
Na kama vipo vinafanyaje kazi yake?
Huyu si mtu wa kwanza kutekwa.
Siyo kweliJambazi anakosaje bunduki na pingu?.
Hilo lipo wazi snHata wakitoa Polisi kwa chama tawala ni jambo dogo, hata kama wanavunja sheria.
Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Mnatafuta pa kutokea lakini hampaoni😀
Kuna mpasuko mkubwa chamani, kama hujui kuna watu wachama wananguvu na ushawishi huko kwenye majeshi na wanayatumia kufanya huu uovu.
Kudeal na hilo kundi sio kazi ndogo kama unavyofikiria, kumbuka hilo kundi ndio lilizamisha lile jiwe kubwa mtoni, hili kundi sio la mchezo wakiamua jambo.
Hata mimi zamani nilikuwa nafikiria kama wewe kwamba ukishakuwa pale juu wewe ndio kilakitu, kumbe kuna njemba zikiamua kukuyumbisha unayumba na hata kudondoka kabisa
Kama Yale ya 2017 pale area D Dodoma Kwa ATL.alipigwa Marisa's mchana kweupe pia yalikua yameratibiwa na hao " professional assasn"??Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Huijui jeuri ya chama wewe.Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Akifuatwa nyumbani na kuuawa inakua ni sahihi sio kwenye basi haifai au sio? Kwa hiyo ccm watu mnaowaua Huwa mnawafuata nyumbani au sio Mzee baba?Hata sisi wa kawaida tunaona kuwa kundi hilo ni adui wa nchi wenye nia ya kuleta fujo.
Kwanini wamfuate kwenye gari na sio nyumbani kwake.
Na ndio lengo lao kuwapotezaNina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Ya ulimboka?? Mbona ilikuwa official kwa maslahi ya nchi, lakini iliachwa alama!!!Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Hakika ni hawa hawa watekaji na wauaji
Maneno yako yatakuwa na maana tu kama jeshi la polisi litawakamata na kuwafikisha mahakamani wauaji hao,vinginevyo tutaendelea kuamini kuwa mauaji haya ni kazi ya vyombo vya dola katika kuilinda CCM iendelee kubaki madarakaniNina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Kwahiyo no kifo gani ambacho kilifanywa professional hapa nchini!!?Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Aina ya kyuma nyinginé hiiNina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Mumeo amekutuma uje uandike huu ujinga wako?
Hata Tundu Lissu alipopigwa risasi kulikuwa na kauli kama hizi. 'Self-deceptive rationalisation' huwa ni njia tu ya kufanya tatizo lisionekane tatizo au ambalo si tatizo lionekane ni tatizo. Kuna kanuni moja tu ya kutumia katika utoaji wa hoja: kama huna hakika ya jambo fulani 'suspend judgement' na kama you make any claim, justify it.Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane