Mauaji ya kutisha yafanyika Wilayani Mwanga. Rais tafadhali ingilia kati uisaidie hii familia

Hii inaonekana ni kesi ambayo adui wa marehemu wanajulikana waziwazi. Polisi wanafanya nini kuwakamata hao washukiwa kabla hawajaharibu ushahidi?
Hata Mimi ambaye sina mamlka hata elimu ya Sheria nashangaa kuhusiana na hili swala mkuu...
 
Namba 3
Irudie maradona alisema marehemu arudishwe kutoka wapi ,nasababu ilikua nn bibi kuondolewa kabla ya kurudishwa na akauwawa wakati maradona alihakikishia usalama wa marehemu
 
Namba 3
Irudie maradona alisema marehemu arudishwe kutoka wapi ,nasababu ilikua nn bibi kuondolewa kabla ya kurudishwa na akauwawa wakati maradona alihakikishia usalama wa marehemu
Namba za wahanga ni: 0766430284 0689512555 & 0672740412
 
Jamani wenye mamlaka isaidieni hii familia jamani! Namba za wahanga ni: 0766430284 0689512555 & 0672740412
 
Kisa chako kinaacha maswali yasiyojibika, chanzo cha ugomvi ni nini? Kwanini mpaka diwani kaingia kwenye mgogoro na hii familia? Kwanini mpaka polisi wanachelewa kwenye eneo la tukio? Toa maelezo kuhusu hii familia.
Namba za wahanga ni: 0766430284 0689512555 & 0672740412
 
Kama ni issue ya 'UCHAWI' GL hamna namna Acha auwawe tyu. Wachawi wanatusumbua sana.
 
Jamani wenye mamlaka isaidieni hii familia jamani! Namba za wahanga ni: 0766430284 0689512555 & 0672740412
Mkuu nchi imekuwa ngumu hii. Hata mwenye nchi hajawahi kufika mwanga anaogopa lipstick 💄 itapata vumbi
 
DC wa Mwanga ni Abdallah Mwaipaya nadhani yumo humu jf.Atufafanulie kidogo.
 
Maghayo 😅😅Njoo uone ndugu zako walivyokuwa makatili bado mna UTI za kutosha haswa dada zako.
 
Musoma sio shinyanga
 
Kaficha na hawezi kusema sababu ina elekea ni tuhuma za uchawi huko Mwanga ni kumebobea mambo hayo .
 
Binaadamu kuchinjwa kama kuku ni mauaji ya kutisha,two wrongs cant make one right
 
Kama huna fedha, huwezi kupata haki polisi,polisi wanafatilia zile kesi Ambazo ni high profile, hizi, za kina nzengo, pangu pakavu! Wala hawajisumbuhi,
 
Kama huna fedha, huwezi kupata haki polisi,polisi wanafatilia zile kesi Ambazo ni high profile, hizi, za kina nzengo, pangu pakavu! Wala hawajisumbuhi,
I concur with you Mkuu. Just imagine, despite the fact that have shared the numbers here, no one has just even dare to call the victims🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…