Tuishi kwa amani, upendo, mshikamano na utelezi[emoji51][emoji51]Huu ni muda sasa wa [emoji1635][emoji482]na [emoji1298] kwa Watanzania.
Maana kesi imeshakwisha! Binafsi napenda sana kuona Watanzania wote tunaishi kwa amani, upendo, umoja na mshikamano! Huku tukiwekeza nguvu kubwa kwenye masuala ya maendeleo, maridhiano, uzalendo wa kweli kwa Nchi, na Demokrasia ya kweli!
UnapakatwaWameshamalizana kesho mbowe atakuwa huru chadema wasije na ngonjera za kuwa mbowe kashinda kesi wajue kabisa lisu washayajenga na mama
Hii ni nafasi pekee ya Samia kufuta aibu aliyopata BBC. Akishupaza shingo sawa!Hawezi toka sasa hivi hata kama ameomba watazungusha kesi iendelee
Naunga hojaAll in all nimempenda Kibatala nadhani ni miongoni mwa mawakili makini hapa nchini. Kesi yenye mashtaka magum kama hii kwa upande wangu ameimudu vizuri kwakweli.
Nadhani siyo nchini tu, ni East and Central Africa.All in all nimempenda Kibatala nadhani ni miongoni mwa mawakili makini hapa nchini. Kesi yenye mashtaka magum kama hii kwa upande wangu ameimudu vizuri kwakweli.
Huko Brussels watakua wameliweka namna ya kupunguza aibu kwa Chief.Hii kesi nadhani ingekuwa imeshafutwa.
Kinachokwamisha ni kwakuwa mheshimiwa alilishwa matango pori mapema na yeye akayala bila kujiridhisha sasa wanaogopa kuifuta kwakuwa Chifu atadhalilika.
Halinaga mshipa wa aibu hilo jamaaAibu kwa Sirro
HaswaaHalinaga mshipa wa aibu hilo jamaa
Hakuna mtu muongo kama huyoAibu kwa Sirro
Ni babu lakini hana akiliHakuna mtu muongo kama huyo
Una maansha kwamba masuala ya mashahid ndio yameishia kwa Swila au sio???All in all, big up kwa wakili 'msomi kibatala na team yake' kwa namna alivyo wasambaratisha ma -mashetani ya CCM adi mengine Zaidi ya 10 yaka ogopa kuja kutoa ushaidi mahakaman!
Sasa vipi position ya IGP Simon Sirro kwenye kuhitimisha hili? Mbali na kwamba ndiye aliyemuaminisha president (maana ki protocol hakuna mwingine atafanya hivyo), lakini pia alisikika kwenye vyombo vya habari kwamba wana ushahidi mzito juu ya ugaidi wa Mbowe.Ameshadhalilika mbona. Kitendo kwa swila kujibu kua hamna mtu aliyefungwa kwenye kesi hii tayari ilimuweka huyu mama mahali pabaya.
Hivi hatima ya Sirro itakuwaje?Aibu kwa Sirro
Ni kufa kifo cha ghaflaHivi hatima ya Sirro itakuwaje?
Swali langu, hivi Sirro tunaendelea naye kama IGP hadi astaafu?Hii nchi mwenye uchungu nayo alishaondoka. Wamebaki wapigaji tu. Sasa hii kesi haina miguu,wamepoteza mamilioni ya pesa ya kitupia kwenye ujenzi wa kipande fulani cha barabara,ksbb ya huu ujinga.
Ziro kaingizwa cha kike,akaingia mzima mzima. Nae kamuingiza mama chaka. Kama wana akili ndio wajifunze kufumua na kuunda kwa weredi idara zote zinazohusika na upelelezi.
Walipanga kesi yenye jina kubwa, kufuta imekua ngumu sana. Lakini kwa ushahidi wa hovyo kutoka kwa akina Swila, Judge ataitupilia mbali. Ngoja tusubiri kesho tutapata mwanga.Kesi ya "UGAIDI" itafutika ki rahisi?.....
Hiki kipengele sikujua kwamba kilivuruga ushahidi.Mungu ni mwema sana. Ile Extraction file kutoka kwenye ile Software ya waisraeli huwezi kufanya Editing. Mwisho wa siku ikabaki hivyo hivyo na tarehe ya 2021[emoji3][emoji3][emoji3]