Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
- Thread starter
-
- #81
Kwahiyo ina maana aunts zetu walituongopea?Niwe mkweli, amenifundisha miaka 4, sikusikia kitu hicho..... Prof Gaspar Ndaalio...alikuwa Mchaga. RIP my Prof!
Pole dadaUngeandika tu kuwa Jafo anapata PhD leo ingetosha!
Mihemko yako ya kike ndio imeharibu kila kitu, ona unaogelea maneno sasa!
Kongole kwa jaffoKuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.
Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.
Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.
Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?
Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?
Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.
Hongera sana Selemani Jafo, PhD.
Mkwere wa kiwangwa acha ubishiNi mzaramo wa Bagamoyo!
Sawa ndugu. Lakini hakuna aliyebeza PhD hiyo ya Mhe Jafo kwenye jukwaa hili. Uliyemtaja aliibeza kwenye jukwaa lingine, ungemjibu huko huko. Kulileta huku ni kama wewe sasa unaeneza taarifa zake hizo za kubeza na kutufanya wengi sasa tujue kuwa kuna mtu amembeza Waziri wetu. Mengine unapiga tu kimya ndugu yangu. Wanasema ukifukuza kila mbwa anayekubwekea njiani, hautafika kwenye safari yako. Hivyo achana na maneo ya binadamu, tusonge mbele. Kuna African proverb moja inasema 'the barking of a dog does not disturb the man on a camel'Sijatumia povu wala sijatetea. Nimekosoa watu wenye tabia ya kubeza mafanikio ya wenzao, na nikatoa ushauri.
Yeye hana cha kuhonga, akina Jaffo wamehonga kuanzia wasimamizi hadi mwandikaji.
Hata kwenye kuwasilisha anahonga pia ili ateleze.
Pesa huwa inarahisisha mambo mengi sana!
Tuseme ukweli enzi za Jiwe Mawaziri walikuwa wanapelekeshwa puta puta, Jaffo alipata wapi muda kuandika research? jibu ni kuwa "alihonga akaandikiwa".
PhD ya Jiwe ilipoanza kuhojiwa iliondolewa kwenye Publication, aliyehoji alipotezwa. Kama aliamini sio ya mbeleko angetuacha tuihoji ili atuprove wrong
Ni vigumu sana kutetea thesis ya kuandikiwa ama kufanyiwa research bila kujali level ya IQ ya mtu labda committe iwe weak kiasi cha kutosha!Hawa wanapewaga tu hizo PHD.
Reseach wanaandikiwa wanaenda kuwasilisha tu
Natamani nitapate mtu wa ku"review" Thesis/Dissertation yako kama ipo.Yeye hana cha kuhonga, akina Jaffo wamehonga kuanzia wasimamizi hadi mwandikaji.
Hata kwenye kuwasilisha anahonga pia ili ateleze.
Pesa huwa inarahisisha mambo mengi sana!
Tuseme ukweli enzi za Jiwe Mawaziri walikuwa wanapelekeshwa puta puta, Jaffo alipata wapi muda kuandika research? jibu ni kuwa "alihonga akaandikiwa".
PhD ya Jiwe ilipoanza kuhojiwa iliondolewa kwenye Publication, aliyehoji alipotezwa. Kama aliamini sio ya mbeleko angetuacha tuihoji ili atuprove wrong
Hizi PhD za siku hizi 90% ni za mwendokasi tu hazina quality,PhD za miaka ya 1960s-1990s ndio hasa za uhalisia.Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.
Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.
Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.
Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?
Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?
Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.
Hongera sana Selemani Jafo, PhD.
Sasa unaambiwa kazi yenyewe aliyoiwasilisha ameikopi toka kwa mtu wa Kenya aliyefanyia utafiti wake huko Garisa, Kenya.Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.
Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.
Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.
Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?
Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?
Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.
Hongera sana Selemani Jafo, PhD.
Na hii ya Jafo ni ya mtu wa Kenya alifanyia wilaya ya Garisa.Wapo watu kazi yao kuandikia watu. India,Kenya,Nigeria ndio usiseme unamlipa.
We jamaa, watu wanapewa wanaiimba kama sala ya baba yetuNi vigumu sana kutetea thesis ya kuandikiwa ama kufanyiwa research bila kujali level ya IQ ya mtu labda committe iwe weak kiasi cha kutosha!
Makasiriko ya nini sasa [emoji28][emoji28]Î don't care
Ishaanza kuvuja au??[emoji848][emoji848][emoji848]Nina ushahidi wa kutosha kwamba hiyo kazi alifanya mtu huko Kenya wilaya ya Garisa. Naona kanunua na kubadilisha tu majina, yale ya Kenya akayaweka majina ya maeneo ya Tanzania.
PHD za bongo za wanasiasa ni chenga tu,wanachojali ni heshima tu,hakuna manufaa yoyote ukilinganisha walipokuwa na shahada na sasa Wana PHD!!ni mbwembwe tu,Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.
Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.
Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.
Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?
Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?
Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.
Hongera sana Selemani Jafo, PhD.
Kwa uandishi huu wa kujilinda huenda wewe ndiye Jaffo nani dhahiri umeipata hiyo Phd dukani kwa mpembaKuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.
Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.
Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.
Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?
Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?
Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.
Hongera sana Selemani Jafo, PhD.