Siyo wote tunajua kiswahili vizuri usizanu wote tulisomea tz ...acha kutumia matakooo kufikiriHapo kwenye bold, ni vyema ujifunze tu kuandika kuliko kuingia kwenye mambo makubwa yaliyo nje ya uwezo wako.
Chadema haijawahi kukurupuka Wala kufanya kazi Kwa mashinikizoHapo nakupinga uhuni ulifanyika na nani ? Maana chadema walivulugana wenyewe kwa wenyewe ...je kilicho zuia chadema kufanya waliyo fanya sasa ya kuitisha mkutano wa chama na kuwafuta ni nini hadi wakangoja huu mwaka. Mbowe ni muhuni sana hao wakina mdee ni wake zake ndiyo maana yote hayo yanatokea .... kuna msemo wanasema ukitembea na mfanyakazi wako jua unaialibu ofisi yako ....icho ndiyo kilicho tokea
Yaani wewe ni empty headedNa mimi nikuulize hao hakina mdee walikuwa ccm au chadema ? Kama ni chadema basi jua uhuni ulifanya ndani ya chadema yenyewe ndiyo maana chadema kiliweza kuchukua hatua ya pili waliyo chukua sasa ...ila walichelewa kuchukua hiyo hatua ...kama nilivyo sema wakina mdee ni wake zao huko chadema ....kuhusu kuto kupeleka majini swali tufanye hakupeleka sasa kama hakupeleka kwanini kina mdee wasinge kataa hizo nafasi ..hivyo ingejulikana kuwa tatizo siyo ndani ya chadema ...ilikuwaje majina yaende kifigisu na waliokwenye hayo majina wakubali hizo figisu kwa kukubali ubunge
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Hata wajumbe wa CCM walikataa njaa.Mayala maana yake ni Njaa, hata Msukuma mwenzake alimjua jinsi alivyo mnafiki na mwenye njaa.
You are beating round the bush.Na mimi nikuulize hao hakina mdee walikuwa ccm au chadema ? Kama ni chadema basi jua uhuni ulifanya ndani ya chadema yenyewe ndiyo maana chadema kiliweza kuchukua hatua ya pili waliyo chukua sasa ...ila walichelewa kuchukua hiyo hatua ...kama nilivyo sema wakina mdee ni wake zao huko chadema ....kuhusu kuto kupeleka majini swali tufanye hakupeleka sasa kama hakupeleka kwanini kina mdee wasinge kataa hizo nafasi ..hivyo ingejulikana kuwa tatizo siyo ndani ya chadema ...ilikuwaje majina yaende kifigisu na waliokwenye hayo majina wakubali hizo figisu kwa kukubali ubunge
Mayalla huwa msanii tu, anachezea akili za watu makusudi huku akiujua ukweli.
Pale anapojiweka juu ya maamuzi ya KK ya Chadema, Baraza Kuu la Chadema, msajili wa vyama, na maamuzi ya mahakama zetu kwamba wote hao hukosea kwenye maamuzi kuwahusu kina Mdee ndipo humuona ni msanii tu.
Unadhani GENTAMYCINE ninavyomuita KJ huwa nakosea?Kuna siku nilimuona akifanyiwa interview na star Tv, jamaa alikuwa akiongea ugoro mtupu.
Basi toka siku hiyo nilimdharau
Hai-justify uhuniMayala Hana presha kabisa, anajua fika wale ni wabunge na wataendelea kuwa wabunge, na Leo wameingia bungeni na Spika Yuko kimya kabisa
Wewe kilaza kweliJaman tuhifadhi maneno yetu, tusijifanye tunajua Sana
Jamaa na shobo zote kwa watawala na bado kanyimwa teuzi ccm bwana😁😁Mayala maana yake ni Njaa, hata Msukuma mwenzake alimjua jinsi alivyo mnafiki na mwenye njaa.
Jidu la Mabambasi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina wasi wasi sana na Paskali.
Mizania yake ya kuyapima mambo inazidi kuporomoka
.
Mimi mwana CCM lakini huwezi mtu kusapoti uhuni uliofanyika kuwaingiza kina Mdee bungeni.
Uhuni uliofanyika ni sawasawa nakuisigina katiba.
Kuna njia nyingi za kujitafutia fursa pamoja na kujipendekeza.HAHAHA alijitahidi mno kuandika kabisa...
Ataenda mahakamani kukata rufaa kwa ajili ya Covid 19!Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Wewe kilaza kweli
Hai-justify uhuni
Mwenye kupata Kura Moko tu Kawe kuna uhalali wowote kweli wa Rais Makini wa Tanzania kupoteza muda wa Kumteua?Jamaa na shobo zote kwa watawala na bado kanyimwa teuzi ccm bwana😁😁
Mayalla ana tatizo mahali siyo bureHuyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine