Mayele angetetema Mara ngapi mechi ya Orlando pirates vs Simba

Mayele angetetema Mara ngapi mechi ya Orlando pirates vs Simba

Mayele kwani ameanza kucheza mpira Utopolo? Huko alikotoka ana record gani ya kutetema kwenye mechi za kimataifa!
Cjafutilia alikotoka Ila nahisi kile kichapo mlichopewa na AS VITA naye aliwafunga
 
Mkuu.....ko chama unamfananisha na Mayele kweli......

Mayele ni class za kina CR 7. wazee wa kufosi matokeo
Waweke sokoni afu bei zitaongea.😂😂😂 huyo mapele angekua na kiwango mnachokitengeneza kwenye fikra zenu asingekua hapo utopwinyo. Wakawaida ile ordinary kabsa
 
Mkuu.....ko chama unamfananisha na Mayele kweli......

Mayele ni class za kina CR 7. wazee wa kufosi matokeo
Eti mapele ni class ya CR7 labda CR wa chuo cha utumishi huko katavi maana ni jogoo la shamba
 
Baada kumaliza kuiangalia mechi ya kimataifa Kati ya Orlando pirates vs Simba sports club pale kwa mkapa na mechi kuisha kwa ushindi DHAIFU wa goli moja Tena la PENALTY .....huu nauita ushindi DHAIFU kwa sababu ni goli ambalo sio la kiufundi but ni Kama zawadi ya bila kuitolea jasho ........

Yafuatayo ni Mambo niliyoyaona Jana
1. Simba imekosa washambuliaji wa kuweza kuamua matokeo... type ya MAYELE au au CR 7

2. Simba kwa level iliyofikia iachane wachezaji wazee....kina kagere, mzee Bocco

3.binafsi naona MAYELE angewachezea Simba Ange score goali 3 kwa kikosi kile cha Orlando pirates

Je, mfano MAYELE angechezea SIMBA Jana unadhani angefunga goli ngapi?

Note: ushindi wa penalty ....sio ushindi wa kiume

View attachment 2191731
Simba wanamuweka beki ndo acheze namba 9, wanatarajia nn? Mugalu sio forward [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Waweke sokoni afu bei zitaongea.[emoji23][emoji23][emoji23] huyo mapele angekua na kiwango mnachokitengeneza kwenye fikra zenu asingekua hapo utopwinyo. Wakawaida ile ordinary kabsa
Mkuu ....now Tz Ni daraja la kuvukia kwenda abroad kwa wachezaji wa mpira

Refer to Banda (Simba) .....ilibidi aende abroad but aliamua kwenda Simba ......Hadi saizi wa Malawi Wana mmind Sana kwenda SIMBA badala kwenda nje
 
Hahahah kagere kaongoza na kachukua kiatu mara ngapi au bocco kwa idadi ambayo mapele hataifikia
Ushindan kipindi hicho ulikuwa zero.....that's y walitrend Sana

But now ligi ni nzito .....timu zina ushindan Sana that's y wachezaji hao wanashndwa ku trend .....

Mfano

John Bocco ndiye aliekuwa mfungaji Bora but now mzunguko wa pil Hana goli hata moja. Hata la offside kashindwa kufunga[emoji23][emoji23][emoji23]

Kagere kidg anajikongoja ana goli sawa na beki za YANGA
 
Ushindan kipindi hicho ulikuwa zero.....that's y walitrend Sana

But now ligi ni nzito .....timu zina ushindan Sana that's y wachezaji hao wanashndwa ku trend .....

Mfano

John Bocco ndiye aliekuwa mfungaji Bora but now mzunguko wa pil Hana goli hata moja. Hata la offside kashindwa kufunga[emoji23][emoji23][emoji23]

Kagere kidg anajikongoja ana goli sawa na beki za YANGA
Hiyo miaka 4 nani utopolo kachukua ufungaji bora au kombe la ligi kuu. Acha kuruka ruka mzee baba huyo mayele ordinary kabsaaaaaaaa. Ndio maana mkamchukua buuureeeee. 🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu tunawaheshimu Sana .....but inawezekana waliweza kutrend Sana kutokana na ushindan kuwa duni Sana compared to now .....timu znacheza kiushindan mno .......kumbuka mbeya city, kagera
Walivyo wapelekea Moto

Kumbuka hata legend PELE Kuna watu Wana m criticize kuwa sawa alikuwa mfungaji mahiri Sana but [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] enzi zake .....hakukuwa na Sheria za offside......so inawezekana 45% ya magoli yake yalikuwa ni offsides
Mnaongea sana na huyu Manywele wenu. Nyie si mlicheza na rivers utd. ikawaje?

Bakisheni maneno msimu ujao kuanzia august mtakuwa Champions league si yetu macho.😂😂😂
 
Eti mapele ni class ya CR7 labda CR wa chuo cha utumishi huko katavi maana ni jogoo la shamba
Mayele asilimia kubwa ndiye anayeamua matokeo ya yanga ......that's y tuna mclassify Kama ni mchezaji anayeweza kubadilisha matokeo mda wowote
Kama kina CR7 ......messi (zaman), mbappe
 
Simba wanamuweka beki ndo acheze namba 9, wanatarajia nn? Mugalu sio forward [emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu ...Mugalu na Bocco mi naona Bora wawe ni makipa tu
 
Kwani hiyo miaka 4 matokeo ya simba yalikua yanaamuliwa na nani..? Wewe ndo ulifunga yale magoli ya bocco +kagere nk na kombe ukawaletea wana lunyasi..?
Mayele asilimia kubwa ndiye anayeamua matokeo ya yanga ......that's y tuna mclassify Kama ni mchezaji anayeweza kubadilisha matokeo mda wowote
Kama kina CR7 ......messi (zaman), mbappe
 
Mayele asilimia kubwa ndiye anayeamua matokeo ya yanga ......that's y tuna mclassify Kama ni mchezaji anayeweza kubadilisha matokeo mda wowote
Kama kina CR7 ......messi (zaman), mbappe
Acha kumfananisha messi, CR7 mbappe na hiyo 🚮🚮
 
Hiyo miaka 4 nani utopolo kachukua ufungaji bora au kombe la ligi kuu. Acha kuruka ruka mzee baba huyo mayele ordinary kabsaaaaaaaa. Ndio maana mkamchukua buuureeeee. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaaah Hilo sijapinga mkuu.....kagere na Bocco walikuwa Bora Sana.......Ila walikuwa Bora mbele ya wabovu

Nadhani umewahi shuhudia ...unaweza kuwa unaongoza shuleni .....lakn mkienda kwenye mitihani ya mock ......unakuta yule kipanga wenu yupo nafasi ya 20

That's y nasema inawezekana Hawa ndugu walikuwa Bora mbele ya wabovu

Kama wako poa ......Basi walete competition kipind hiki ligue ngumu
 
Back
Top Bottom