huyo mtoto wa shule kapandishwa juu ya mti kwa lazima hata sura yake inaonyesha wasiwasi.Chadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?
Huyu dogo anaonekana yupo vizuri hata wakati anafanyiwa interview anajielewa sana, just imagine yupo std 3.Wakuu nawezaje kumpata ili nimlipie ada mpaka chuo kikuu?
msimung'unye maneno , semeni Mkoa wa Mwanza
Mwaka huu utakuwa ni mwaka wa historia kuandikwa maana ccm inaenda kumfia jiwe mikononiVipi huo muda aliopoteza vipindi?
Labda ateke kijiji kizima, mbeya hawana mchezo cheki jana wananchi baada ya mkutano walivyo msindikiza mh Lissu hadi hotelini alipo fikia na kuhakikisha anafika salama.kwa chuki zake anaweza kuagiza kumteka dogo
Huyo akili azipate wapi?Kuna kipindi nilidhani una akili, sitajisamehe!
Huyo akili azipate wapi?
Aliyempandisha atamtaja tuhuyo mtoto wa shule kapandishwa juu ya mti kwa lazima hata sura yake inaonyesha wasiwasi.
Huyo hanaga kitu kichwani ni sawa na kina kipara kipya na WakudadavuaMkuu, nimeapa sitajisamehe kwa kosa hilo.
Naona boxer imekuelemeaAliyempandisha atamtaja tu
Sio rushwa hiyo??Ama hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani .
Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno !
View attachment 1572209View attachment 1572210
Unaweza kumsikiliza dogo hapa akihojiwa na vyombo vya habari vya kimataifa
Kwani Mayanga construction (T) LTD anasemaje?
Umaskini wa wazazi wake unasababishwa na CCM.Chadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?
Kampeni zingekuwa na watoto huyo mtoto asingepanda kwenye mti. Si unawaona watoto wanavyowekwa mbele kwenye kampeni za green party?Lakini mgombea wetu si anapinga kutumia watoto kufanya kampeni? Mbona mnataka kumharibia? Watoto hawatumiki kufanya kampeni.
Kampeni zingekuwa na watoto huyo mtoto asingepanda kwenye mti. Si unawaona watoto wanavyowekwa mbele kwenye kampeni za green party?View attachment 1572379
Kalishwa maneno shuleni Kwao walinu wanasema alitoroshwa na mtu na wanafunzi wenzie wanasema hivyoHuyu dogo anaonekana yupo vizuri hata wakati anafanyiwa interview anajielewa sana, just imagine yupo std 3.
Huko Instagram watu wamesha anza kumkabidhi vifaa vya shule
Huyo nae Ana kiu ya haki,kwa mapenzi yake,kwao amaamua kwa hiyari take tens kumbuka mikutano haifanyiki juu ya miti,kitendo Cha kupewa vifaa vya shule ni ahamasike kupenda shule pia. Itamjenga kuwa mtu Bora zaidi hapo baadae.Chadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?
Tundu Lissu Jnr the making...........Ama hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani .
Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno !
View attachment 1572209View attachment 1572210
Unaweza kumsikiliza dogo hapa akihojiwa na vyombo vya habari vya kimataifa
Mungu alisha nionesha ukombozi wa watanzania utatokana na Chama makini Chadema.Safii.. we jamaa nona. mwaka 95 ulishaanza kuikubali chadema. familiayangu yote ilikuwa nccr mageuzi