Watu wa ccm hivi kwann mnakuwa na hoja dhaifu sana?Chadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa ccm hivi kwann mnakuwa na hoja dhaifu sana?Chadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?
We jamaa unaumwa ugonjwa mkubwa sana !Hapa ndipo utaujua utapeli wa CHADEMA ni hiki walichokionyesha kwa huyu mtoto
Sera yao wanayonadi ni kuwa maendeleo sio vitu
Chadema mumekiuka sera zenu maendeleo sio vitu kwa nini mumempa huyo mtoto vitu yaani madaftari na Peni?
Hizo kweli ndizo za hadi kumpiga picha mtoto?
Statement yako imenigusa sana mkuu.Jamaa anatoa makapelo kwa walio vimbiwa na shibe huku wanyonge wakipiga miayo
Safi sana huyo dogo ndiye kamanda wa uhakika na asiyeweza kununuliwa kirahisi na mashetani.Ama hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani .
Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno !
View attachment 1572209View attachment 1572210
Ni maigizo kama vile futuhiJamaa anatoa makapelo kwa walio vimbiwa na shibe huku wanyonge wakipiga miayo
Tatizo lako hutaki kuisumbua akili yako ya kupewa na Mungu, maana ya darasani hiyo hunaChadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?
Huyo hakutumiwa bajaji wala punda kwenda kumchukua kutoka shuleni bali alikwenda mwenyewe kwa hiari yake kwenda kumuona rais wakeLakini mgombea wetu si anapinga kutumia watoto kufanya kampeni? Mbona mnataka kumharibia? Watoto hawatumiki kufanya kampeni.
Wacha upumbavu wewe, huyo mtoto kasema mwenyewe kuwa alienda hapo mkutanoni baada ya shule kuwaruhusu kwenda kula chakula cha mchana.What a double standard. Si mnasema watoto wabaki shule kujisomea na sio kuhudhuria mikutano ya kisiasa Kama wanavyosombwa na ccm? Nilifikiri mngemchapa viboko ati.
Nyota njema daima uanzia asubuhiHuyu mtoto atakua shujaa km Tundu Lissu
kweli kabisa mkuu.. nime edit ilikuwa ni nccr mageuzi
Kwa hiyo picha zake zilivyozagaa mitandaoni sio kampeni? Kamanda mwenzangu tuwe wakweli, mnamuaibisha Lissu.Huyo hakutumiwa bajaji wala punda kwenda kumchukua kutoka shuleni bali alikwenda mwenyewe kwa hiari yake kwenda kumuona rais wake
Hakuna lolote hapo hata kama wewe ni kamanda hapo umekengeuka tu na unafaa kupingwa tuKwa hiyo picha zake zilivyozagaa mitandaoni sio kampeni? Kamanda mwenzangu tuwe wakweli, mnamuaibisha Lissu.
Hahahaa still double standard. Kwanini asiende kula na aliwajibika kwenda kula ikiwa ni ratiba ya shule ili akirudi darasani afuatilie vizuri masomo. Na unauhakika alirudi shule baada ya mkutano? Nyumbulism is an art.Wacha upumbavu wewe, huyo mtoto kasema mwenyewe kuwa alienda hapo mkutanoni baada ya shule kuwaruhusu kwenda kula chakula cha mchana.
Yeye badala ya kwenda kula akaamua kwenda kumuona rais wake.
Vipi huo muda aliopoteza vipindi?Ndio maana hatukumpa kofia , tumempa vifaa vya shule ili akasome
CHadema mnasema maendeleo sio vitu kwenye sera yenu kwa nini mumempa vitu yaani madaftari na peni huyo mtoto?
Mwangalieni usoni dogo anavyowashangaa!! mbona mnasema maendeleo sio vitu halafu mnanipa vitu? Dogo anaonyesha wazi kachukia na hawaelewi Chadema anauliza nini hiki mlichonipa mkononi wakati mnasema maendeleo sio vitu na nimemsikia mimi mwenyewe Lisu akiongea nilipokuwa juu pale penye mti? Mbona siwaelewi?
View attachment 1572220
Kuanzia sasa tunaomba wanachadema wa Mbarali kumlinda huyo dogokwa chuki zake anaweza kuagiza kumteka dogo
Kabisa👍👍✌️✌️Nyota njema daima uanzia asubuhi