The Eye
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 278
- 393
Mkuu sijasema mmekimbia mbeya city.....Simba hatuwezi kimbia mbeya city ata siku Moja wewe
Mmekimbia uzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sijasema mmekimbia mbeya city.....Simba hatuwezi kimbia mbeya city ata siku Moja wewe
Unaweza ukawa na watu lakini hawana akili.Kwa mnaoangalia kwenye TV na uwanjani,tupeni tathmini ya mchezo hadi dakika hii,msisubiri kutangaza magoli tu.
Sisi tuna watu
Mbona tupo SasaMkuu sijasema mmekimbia mbeya city.....
Mmekimbia uzi.
Ucpanic mda bado wanaweza kukuweka la pili [emoji533][emoji97][emoji1768]...burdaaaaniSawa bwana dem wa Jf.
Game imeisha huko??Semeni na yenu sasa. [emoji1787]
Leo uzi utachafuka sababu hawajuagi kuvumilia kusemwa.Ucpanic mda bado wanaweza kukuweka la pili [emoji533][emoji97][emoji1768]...burdaaaani
Kwani beki bora Verane leo hayupo hadi hao wanapata goli?DK 23
Mbeya City 1 - 0 Simba SC
Kila la kheri Mbeya City.
Zile porojo zako za jana uje nazo leo sasa. 😀Madokta tushatia maguu unyakyusani
Mbeya city wajichagulie bega
Naona Yanga mmeanza kuja....😂Semeni na yenu sasa. 🤣
[emoji16][emoji16][emoji16]...maswala ya kukomboa wanayaweza akina Mayele,makolokocho watakula jeuri yaoLeo uzi utachafuka sababu hawajuagi kuvumilia kusemwa.
Wakomboe sasa kama ni rahisi. [emoji28][emoji28][emoji28]
Mechi bado sana bado kuna matokea matatu yanaweza tokea kwa dakika zilizobaki. Natamani yule refa aliyechezesha mechi ya Mali na Tunisia aje na huku aivunje ile rekodi yake aliyejiwekeaSemeni na yenu sasa. [emoji1787]
Mi si mkaaji sababu hao jamaa wanajuaga sana matusi.Naona Yanga mmeanza kuja....😂
Nilijua tu kama mtajazana hapa 🤣 Sasa mtulie hivo hivoSemeni na yenu sasa. 🤣
Goli likirudi utawaonaMi si mkaaji sababu hao jamaa wanajuaga sana matusi.
Nimekuja tu kuwakumbusha walivyoshadadia uzi wetu jana na Coastal na leo waje Washadadie. 🤣🤣🤣
Tutaheshiamiana mwaka huuSemeni na yenu sasa. [emoji1787]
Usimalize maneno weka akiba na kesho ohoo🤣Zile porojo zako za jana uje nazo leo sasa. 😀