mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Hii game Simba tunashinda dakik za jion kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Anajipepea saa hii. 😂😂
Wapigwe tudakika ya 85, Mbeya City Council 1- 0 Simba Sports Club
Labda mshinde njaaHii game Simba tunashinda dakik za jion kabisaa
Mtakuwa mnashinda na njaaHii game Simba tunashinda dakik za jion kabisaa
Naona kama muda hauendi.dakika ya 85, Mbeya City Council 1- 0 Simba Sports Club
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..... mwendo wa vyukuHizi mambo za kutegemea red cards na penalt sio nzuri tubadilike jamani, refa kashachukua chake akitoka hapo ni vyuku kwa kwenda mbele
Dah😂🤝
Leo sio nguvu moja tena naona umeniwekea mbili pamoja na ya refa. Teh teh.
Mnyama kanyolewa sharubu....Mbeya city wamecheza fainali leo.Tatizo la simba kubwa ni timu kukosa plan B.Mara nyingi imeonekana timu ikishazidiwa mwalimu anachokifanya nikulundika washambuliaji au kufanya sub za ovyo ovyo uku mfumo ukiwa ule ule usioeleweka.sasa matokeo yake wachezaji wanagongana gongana tu uwanjani.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
wamepata nafasi badala kusajili mshambuliaji wa maana wapo busy na chama. boko anajikwaakwaa tu mule ndani. mugalu na kagere hamna kitu. hawa bodi ya simba ni wasanii tu wote. wapo pale kupiga hela tu.Sasa ni Rasmi Simba Sc imemkabidhi Yanga Ubingwa wa Premier League.
Ni kichwa maji tu au mtu anaeongozwa na ushabiki kuliko uhalisia, ndio anaeweza kupingana na mimi.
HUU NI UKWELI MCHUNGU, YANGA NDIO MABINGWA WA LIGI 2021/2022.
👆🏼👆🏼👆🏼Mpira una matokeo matatu, kushinda, kudroo na kufungwa, hivyo matokeo yoyote nitayapokea na ligi ni kama na mbio za marathon!!
Hii ni simba n,zee!Simba ya siku hizi[emoji116][emoji1787]
View attachment 2085116
😂😂😂😂BOCCO + MUGALU ni zaidi ya uchafu.
Mkuu ligi bado mbichi, kumbuka hii ni first roundSasa ni Rasmi Simba Sc imemkabidhi Yanga Ubingwa wa Premier League.
Ni kichwa maji tu au mtu anaeongozwa na ushabiki kuliko uhalisia, ndio anaeweza kupingana na mimi.
HUU NI UKWELI MCHUNGU, YANGA NDIO MABINGWA WA LIGI 2021/2022.