joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Haya kila mtu ashinde mechi zake, halafu tupigiane mahesabu mwisho wa siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado mapema sana mkuuTumekabidhi ubingwa kwa Yanga.
Yametimia. Dalili zilikuwa wazi kabisa. Nidhamu ni jambo la msingi popote pale. Simba walipaswa wawe psychologically fit hususan unapocheza na timu za Mbeya. Unajaza magarasa akina boko na akina mugalu unawaweka kina Sakho kipindi cha pili. Hiyo ni dharau ya soka.Hahaha. Zaidi ya mzigo. Dalili zinaonyesha leo tunalala. Technical na psychological bench nimefeli miserably
Na Kagera Sugar mliwakimbia bado wanawasubili na vumbi la Congo.Asilaumiwe mtu yeyote plan tu ya timu nzuma Leo haikuwa nzuri kabisa tukubali tu tumepoteza tu game Leo tujipange Kwa ijayo.
Mkuu vp??Usipofanya hivyo nitawaambia Jf wakufute uanachama!!
[emoji16] Kuna kolo linajifariji Yanga mbovuRedcard
Penalt
8+ added mins
Lakini wapiiii
[emoji848][emoji848][emoji848]Hivi huyu kocha wetu ametokea REAL MADRID ya SPAIN KWELI??
Kwa MpalangeHivi huyu kocha wetu ametokea REAL MADRID ya SPAIN KWELI??