Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

UTASUBIRI SANA muh8ini yule kishashika adabu mwambie aende akashitaki sasa kama atakukubalia sasahivi kila mtu hata mtoto atamuamkia mpuuzi yule
Jitulize boya, kuna kitu unataka kusema lakini akili yako haijatulia! Tafuta maji ya kunywa, mengi, kama kichwa kinauma tafuta panado, alafu utarudi tu, uandike kitu cha kueleweka!
 
UTASUBIRI SANA muh8ini yule kishashika adabu mwambie aende akashitaki sasa kama atakukubalia sasahivi kila mtu hata mtoto atamuamkia mpuuzi yule
Maneno yako yanasadifu aina ya utu ulio nao.
Kwa kifupi huna tofauti na mchawi mwingine yeyote!!!
 
**ZILE SHS MIL 350 ZINAZORUDISHWA NI BORA KIASI CHA SHILING 20MILION AKAPATATIWA KAMA FUNGU LA KUANZA HARAKATI ZAKE UPYA.
N.B:-UTII WA MAMLAKA NI JAMBO JEMA,HAIMAANISHI KUACHIWA HUKU IWE NI CHANZO CHA KUANZA KUVUNJA SHERIA NA KUTUKANA WATU AU MAMLAKA ZILIZOPO MADARAKANI.**
 
UTASUBIRI SANA muh8ini yule kishashika adabu mwambie aende akashitaki sasa kama atakukubalia sasahivi kila mtu hata mtoto atamuamkia mpuuzi yule
Mhuni aliyekua hataki kukosolewa.imekula kwake.hata umalaika hapati
 
Umenena vyema
 
Magufuli alijifanya mungu. Ndipo Mungu mkuu wa majeshi akaamua kumuua ili akomboe watu wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…