Mbeya: Mlima Kawetele wameguka, nyumba zaidi ya 20 zadaiwa kufunikwa

Chanzo cha matatizo yote haya ni Magufuli,
alikuwa hasikilizi wataalam
 
Majanga kama hayo yako dunia nzima. Sio swala la kuomba Mungu, tutafute wataalam wafanye tafiti watoe taarifa zenye faida kwa wananchi na maeneo husika.

Kama eneo halifai kwa makazi wahame, au kama kunawezekana kutengeneza kingo kuzuia tope ifanyike.

Kama ni landslike hiyo huwa inachukua eneo kubwa, hivyo utafiti ufanyike ili kujua ni eneo gani ni salama kwa makazi na shughuli za kilimo na ufugaji, ili wananchi waweke nguvu zao huko.
 
Wataalamu waendelee na KAZI Yao,

Na maombi yaendelee kama kawaida.
 
Kuna wadau wanatafuta namna ya kumuangushia jumba bovu yule mshua ila connection inagoma!

BTW:Milima isiyokuwa na miamba ni suala la muda tu chochote kutokea.

Ile ya Mwanza labda lije tetemeko lenye ritcher scale above 8.0.
 
Maombi hayana tija kwenye hivi vitu. Zifanywe tafiti za kweli, zifanyiwe kazi, wananchi wapewe maelekezo ya kitaaluma mambo ya kimaisha yaendelee, wataomba wakihamia sehemu salama.
Sehemu salama ni ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…