Nyalumana originally
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 421
- 1,367
Duuu una mawazo potofu wewe kijana eti watalelewa na nani,kenge kweliUkiwaacha watoto watateseka babu. Nani atawalea
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu una mawazo potofu wewe kijana eti watalelewa na nani,kenge kweliUkiwaacha watoto watateseka babu. Nani atawalea
Marangu wapi nipate kamchepuko?Ushauri wangu kwa vijana.
Usioe mwanamke mzuri, nenda Makete au Katavi ukapate mke mchapakazi na mwenye kujiheshimu.
Jitahidi kuoa flat screen maana Hawa sio rahisi kutongozwa. Njoo Marangu upate jiko linalojituma.
unazaa mtoto wa kike. unamlea. anaenda kuolewa na jinga kama hili anauliwa kikatili namna hii. inaumiza sana.Afya ya akili is real. Ukiwa na akili timamu huwezi fanya hivyo.
Hao ndo wanaume kama mabinti, cheki na lisura lake kama kenge, mwanaume gani un akuwa mpumbavu kiasi hicho.View attachment 2356124
Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.
Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.
Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).
Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.
Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.
Umeongea uhalisia, hata lilivyokaa kwenye kochi linaonekana kabisa ni lipunguani.Afya ya akili is real. Ukiwa na akili timamu huwezi fanya hivyo.
Afya ya akili is real. Ukiwa na akili timamu huwezi fanya hivyo.
Kama ni anatoka nje ya mkataba wa ndoa hata kama mwanao alikua malaika lazima atapata adhabu ya usalitiunazaa mtoto wa kike. unamlea. anaenda kuolewa na jinga kama hili anauliwa kikatili namna hii. inaumiza sana.