Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Tukiwaambia msioe hamsikii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamii itawaleaUkiwaacha watoto watateseka babu. Nani atawalea
Ushauri wangu kwa vijana.
Usioe mwanamke mzuri, nenda Makete au Katavi ukapate mke mchapakazi na mwenye kujiheshimu.
Jitahidi kuoa flat screen maana Hawa sio rahisi kutongozwa. Njoo Marangu upate jiko linalojituma.
Kama huna akili usioeTukiwaambia msioe hamsikii
Magonjwa ya kiroho pia uchangia kuvuruga Jamii sanaAfya ya akili is real. Ukiwa na akili timamu huwezi fanya hivyo.
Huko njombe jamaa kamuua mchizi kisa alimkumbatia mkewe wakati wanacheza dansi kwenye sherehe, tofali moja la kichwa mwamba kazimaMapenzi kwa mara nyingine tena
Shetani hana mipakaWahamiaji hao,wanyakyusa hawana upuuzi wa kuuana
Watoto wanakosa gani.Bila kupindisha maneno chanzo ni mwanamke kutoka nje ya ndoa.
Hao wa marangu wataniua kisa maliUshauri wangu kwa vijana.
Usioe mwanamke mzuri, nenda Makete au Katavi ukapate mke mchapakazi na mwenye kujiheshimu.
Jitahidi kuoa flat screen maana Hawa sio rahisi kutongozwa. Njoo Marangu upate jiko linalojituma.
Mwezi wa tisa huu miezi yao ya kutoa sadaka
Haujakutana na mke pasua kichwa anakupa msongo wa mawazo mpaka unakuwa chizi freshHao ndo wanaume kama mabinti, cheki na lisura lake kama kenge, mwanaume gani un akuwa mpumbavu kiasi hicho.
Ila asingepaswa kufanya unyama huuUkute mwamba alifahamu mke anachepuka na watoto wote sio damu yake
Kwani kasema watoto wana makosaWatoto wanakosa gani.
Labda mwenye pochi Nene, Hawa waratibu au wakurugenzi WA elimu kila siku wilayani!! Ila aliyetoa umbea Kwa Sasa anajionaje!?Kusaidiana kunaleta shida lazima Kuna mwalimu alikuwa anamsaidia mwalimu mwenzio kugonga mke wa mwalimu Ambaye nae ni mwalimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya ndoa za mwanaume na mwanamke wote waajiriwa hua zina migogoro sana. Nilishasema na nitasema tena mke apaswa kukaa nyumbani wakiwa na vijiajira hua wanakua natdharau, na dhihaka za mwendo kasi.View attachment 2356124
Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.
Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.
Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).
Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.
Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.