Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

View attachment 2356124

Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.

Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.

Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).

Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.

Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.
Huyu mwanaume mjinga sana, afufuliwe na apelekwe gerezani ili ahukumiwe kunyongwa hadi kufa.
 
View attachment 2356124

Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.

Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.

Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).

Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.

Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.
Hali ya uchumi inavyokuwa ni mkanda mkanda halafu zikatokea stress za mapenzi, inapelekea mambo kama haya kutokea.

Tanzania ipo gizani. Mtawala hataki kuwasikiliza wananchi wake anapambana nao kupitia mbanano wa maisha magumu kinachotokea ni full sonona

Imeniuma sana hao malaika kuuawa kinyama. Wananndoa turudi kwa Mungu jamani
 
View attachment 2356124

Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.

Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.

Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).

Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.

Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.
Kuna majitu wanawake wanaolewa nayo huwa ni mashetani,unaua watoto Kisa upumbavu wenu?
 
Migogoro ya Mke na Mume inawagharimu watoto ambao hawafahamu chochote.

Wangejimaliza wenyewe wakawaacha watoto.

Najua wanchofikiri wao wakishaaga Dunia watoto watapata tabu, hii ni dhana potofu
Ni upumbavu tuu, kuna majitu yanawaza huu ushetani.
 
unaingilia kazi ya Mungu Sasa,wangapi walifiwa na wazazi wao wote wawili, still watoto walikuwa na Hadi umri mkubwa na Sasa Wana maisha mazuri,

Watoto wengipitia changamoto lakini wangekuwa tu kwa uwezo wa Mungu
Mimi baba yangu alifiwa na baba yake yaani Babu akiwa na miaka 5 alibakia na mama tuu so mbona alibahatika kutoboa hadi leo hii wapo wote baba,bamdogo,Shangazi nk?

Ni majitu mapumbavu tuu ndio yanawaza huo ushetani..
 
Ushauri wangu kwa vijana.
Usioe mwanamke mzuri, nenda Makete au Katavi ukapate mke mchapakazi na mwenye kujiheshimu.

Jitahidi kuoa flat screen maana Hawa sio rahisi kutongozwa. Njoo Marangu upate jiko linalojituma.

Wewe flat screen tunatongozwa sana tu [emoji23][emoji23]
 
Na mke mmoja tuu inachangia sana haya maumivu hasa kwa mtu muanifi na mtiifu kwa mkewe.

Fuatilieni haya matukio utakuta ni watu wasio na wenza wengine au asiye na kimchepuko pembeni.

NB: ni mawazo yangu tuu haya.
Nimewahi kuongea mara nyingi na narudia,mambo ya mke mmja ni ushenzi tuu Wala sio tamaduni za Africa bali Ulaya.
 
Haya maamuzi mengine huwa mabaya sana, sasa hao watoto amewanywesha sumu kwa kosa gani?

Unamkata mtoto panga la kwanza analia, na mwenzie anakutazama, bado unamkata la pili, la tatu, mpaka anakata roho, then unamgeukia mtoto mwingine, this is insanity.

Huwa siamini kam kuna ugomvi usio na solution hapa duniani, sawa hasira hupanda, lakini pia ukijipa muda zitashuka, na ukishazoea majaribu ya mwenzio, sioni sababu kwanini yawe yanakupandisha hasira kila wakati.
Wee bwana hivi mnajua maumivu ya kutombewaa mwanamke nyie?
Mie nilikuwa na sexmate ila siku nikaja kujua kabisa kuwa anatombwer na njemba nyingine sikulala wiki nzima. Ndio itakuwa mke...tusichukulie poa
 
We nae mpumbavu tu
Narudia kukwambia wewe ni mpumbavu mmja tuu na majitu kama nyie ni kuua kabla hamjaleta madhara kwa wengine..

Upumbavu wako usihamishie kwingine,hujawahi kupanga mtu azaliwe na Wala huwezi define destiny yake..

Ukishindwana na mpumbavu mwenzio unaitwa mke uaneni wenyewe tutawafukia tuu..

Nilishasema siwezi kulia Wala kusikitika kwa mtu aliyejinyonga au kujiua maana Bora life kuliko kuleta shida Kwa mwingine..
 
Narudia kukwambia wewe ni mpumbavu mmja tuu na majitu kama nyie ni kuua kabla hamjaleta madhara kwa wengine..

Upumbavu wako usihamishie kwingine,hujawahi kupanga mtu azaliwe na Wala huwezi define destiny yake..

Ukishindwana na mpumbavu mwenzio unaitwa mke uaneni wenyewe tutawafukia tuu..

Nilishasema siwezi kulia Wala kusikitika kwa mtu aliyejinyonga au kujiua maana Bora life kuliko kuleta shida Kwa mwingine..
Usinichoshe na upuuz wako
 
Watu wamekuwa makatili over and over.

Ifike mahali ndoa zisitishwe, mtu akiamua azae kivyake
 
Back
Top Bottom