Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

Mapenzi kwa mara nyingine tena
Laiti wanawake wangejua kuwa wanaume hawakuumbwa kuhimili migogoro ya kimapenzi wangebadilika wawe wanaopt kuachana tu kuliko kufika kiwango cha kuuana
 
Pepo la mauaji linaloiandama hii nchi si la kawaida.
Usaliti, Usaliti, Usaliti. Ni jinamizi lililoatamia Tanzania kwa sasa kuanzia Uongozi wa juu wa nchi hii...... Sijui nimeeleweka?
 
Dunia hii tunamalizana aisee.Zamani ilikuwa magonjwa na vita,ila hii ya family kuuana na kujiua imepamba kasi sana.
 
Shida ya ndoa za mwanaume na mwanamke wote waajiriwa hua zina migogoro sana. Nilishasema na nitasema tena mke apaswa kukaa nyumbani wakiwa na vijiajira hua wanakua natdharau, na dhihaka za mwendo kasi.

Kufikia kuua mke na watoto huyo mwanaume yalimfika hapa. NIONYESHE MWANAMKE MWENYE AJIRA ALIE MNYENYEKEVU KWA MUME WAKE NA MIMI NITAKUONYESHA MBUZI ANAETAGA MAYAI.
wapo wanaojitambua japo ni % ndogo sana,it is almost negligible.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Nafikiria hata suala la kupeana talaka serikali ingeliangalia vema maana sometimes mwanaume anapofikilia kutoa talaka na kugawana Mali then aone zinatumiwa na njemba flani anaona Bora kuua jambo ambalo ni gumu zaidi

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Kwamba unaua kwa sababu wanasema Bora mgawane mali au?

Oa mwanamke zaidi ya mmja hutowaza kuua na kanuni ya kutafuta mwanamke wa pili sharti awe tofauti na WA kwanza na unaoa sio kwa sababu unatelekeza ya awali bali kwa sababu unataka kufanya checks and balances..
 
😢

Hata nigombane vipi na mama wa mwanangu .. nisikie ama nithibitishe nini Siwezi ua ...

In a moment of chaos pause and think .. what consequences may occur due to your actions ..

Tunakosa Upendo that's why ... Huruma ..
Hatuna amani mioyoni mwetu ..

Come to terms with yourself first ..

Inauma
 
w
Migogoro ya Mke na Mume inawagharimu watoto ambao hawafahamu chochote.

Wangejimaliza wenyewe wakawaacha watoto.

Najua wanchofikiri wao wakishaaga Dunia watoto watapata tabu, hii ni dhana potofu
Sasa watoto watalelewa na nani?
 
View attachment 2356124

Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.

Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.

Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).

Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.

Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.
Daah hivi watoto wazur kama hao ukiwa na akili timamu unaanzaje kuua jaman?

Mm Binti yangu wa miaka mitatu huwa namchapa nikiona analia sana naanza kumuonea huruma nambeba kumbembeleza na mara nyingi nikimchapa hataki mtu mwingine ambembeleze Zaid yangu Sasa imagine jitu linaua kabisa aisee!!

Rip little Angels.
 
Back
Top Bottom