Uzae mtoto wa kike kwanza ndo uongee huu utumboKama ni anatoka nje ya mkataba wa ndoa hata kama mwanao alikua malaika lazima atapata adhabu ya usaliti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzae mtoto wa kike kwanza ndo uongee huu utumboKama ni anatoka nje ya mkataba wa ndoa hata kama mwanao alikua malaika lazima atapata adhabu ya usaliti
Laiti wanawake wangejua kuwa wanaume hawakuumbwa kuhimili migogoro ya kimapenzi wangebadilika wawe wanaopt kuachana tu kuliko kufika kiwango cha kuuanaMapenzi kwa mara nyingine tena
🍆🍆🍆🍆🍆🍆🍆🚮🚮🚮🚮
Utakoma inaonekana uko kwenye fire 😁😁😁😁 na huna jinsi ya kujinasua,noa panga.🍆🍆🍆🍆🍆🍆🍆
🤏🏼🤮Utakoma inaonekana uko kwenye fire 😁😁😁😁 na huna jinsi ya kujinasua,noa panga.
Usaliti, Usaliti, Usaliti. Ni jinamizi lililoatamia Tanzania kwa sasa kuanzia Uongozi wa juu wa nchi hii...... Sijui nimeeleweka?Pepo la mauaji linaloiandama hii nchi si la kawaida.
Kuna wanawake hata umshauri vp,mpaka unawaza kuua tu.Haujakutana na mke pasua kichwa anakupa msongo wa mawazo mpaka unakuwa chizi fresh
Presha ya Maisha inapelekea haya,yaani hata ukiwa na msongo vipi,jitahidi upate muda wa kutafakari ukiwa una kunywa maji,chai,au hata kamnyweso.Oyaa tuwe makini kesho unaeza kuwa ww mana huu upepo sio watu wamevurugwa hivi...
wapo wanaojitambua japo ni % ndogo sana,it is almost negligible.Shida ya ndoa za mwanaume na mwanamke wote waajiriwa hua zina migogoro sana. Nilishasema na nitasema tena mke apaswa kukaa nyumbani wakiwa na vijiajira hua wanakua natdharau, na dhihaka za mwendo kasi.
Kufikia kuua mke na watoto huyo mwanaume yalimfika hapa. NIONYESHE MWANAMKE MWENYE AJIRA ALIE MNYENYEKEVU KWA MUME WAKE NA MIMI NITAKUONYESHA MBUZI ANAETAGA MAYAI.
Kwamba unaua kwa sababu wanasema Bora mgawane mali au?Nafikiria hata suala la kupeana talaka serikali ingeliangalia vema maana sometimes mwanaume anapofikilia kutoa talaka na kugawana Mali then aone zinatumiwa na njemba flani anaona Bora kuua jambo ambalo ni gumu zaidi
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Hatari sana
Sasa watoto watalelewa na nani?Migogoro ya Mke na Mume inawagharimu watoto ambao hawafahamu chochote.
Wangejimaliza wenyewe wakawaacha watoto.
Najua wanchofikiri wao wakishaaga Dunia watoto watapata tabu, hii ni dhana potofu
Huoni huyo mtoto wa kiume kamfanana sana baba yake, huyu muuaji Ni mpuuzi tu!!Ukute mwamba alifahamu mke anachepuka na watoto wote sio damu yake
Daah hivi watoto wazur kama hao ukiwa na akili timamu unaanzaje kuua jaman?View attachment 2356124
Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.
Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.
Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).
Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.
Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.