Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

Wahamiaji hao,wanyakyusa hawana upuuzi wa kuuana
Ponti dhaifu....kwanini naitakidi kuwa ni dhaifu?

kwa sababu hayo ni maswala ya mtu na mtu na sio kujumlisha kabila zima au jamii nzimaa....watu hutofautiana uwezo wa kuvumilia mambo katika vifua vyao na sio kuwa watu wa jamii flani wanaweza kustahimil na watu wa jamii flani hawawezi.....

hata hizo jamii ambazo ni korofi ama zinanasibishwa na ukorofi wapo watu wake amabao kwamba wapo zaidi ya kind mkuu
 
Haya mauaji ndo yamemtoa pangoni mwishimiwa supuka kusema mahuaji yasiripotiwe? [emoji848]
 
Wee bwana hivi mnajua maumivu ya kutombewaa mwanamke nyie?
Mie nilikuwa na sexmate ila siku nikaja kujua kabisa kuwa anatombwer na njemba nyingine sikulala wiki nzima. Ndio itakuwa mke...tusichukulie poa
Mwanamke alikuwa kisu na hapo kazaa, najua hapo mzigo kama wote. Sema jamaa ukiangalia picha yake unaona hakuwa normal hata kidogo... Pole sana kugongewa, na mie nilipigiwa manzi niliumwa aisee kwa stress 😂😂😂😂
 
Mwanamke alikuwa kisu na hapo kazaa, najua hapo mzigo kama wote. Sema jamaa ukiangalia picha yake unaona hakuwa normal hata kidogo... Pole sana kugongewa, na mie nilipigiwa manzi niliumwa aisee kwa stress 😂😂😂😂
Aisee nawe walipita na demu wako. Wanawake hawa
 
Ponti dhaifu....kwanini naitakidi kuwa ni dhaifu?

kwa sababu hayo ni maswala ya mtu na mtu na sio kujumlisha kabila zima au jamii nzimaa....watu hutofautiana uwezo wa kuvumilia mambo katika vifua vyao na sio kuwa watu wa jamii flani wanaweza kustahimil na watu wa jamii flani hawawezi.....

hata hizo jamii ambazo ni korofi ama zinanasibishwa na ukorofi wapo watu wake amabao kwamba wapo zaidi ya kind mkuu
ndio katika watu hao uliotaja kind ni mnyakyusa.
mtaani huko ukimuonea ngumi zitahusu kwa hali yoyote ile.
ila mambo ya kuuana tena familia nzima hao bhajhanga wanaleta huko.
Mke huwa anatandikwa viboko tu na makofi kidogo akikosea na mara nyingi huwa si makosa ya kuchepuka hovyo.
 
Bila kupindisha maneno chanzo ni mwanamke kutoka nje ya ndoa.
Au kujibiwa hauna hadhi ya kuzaa na mimi, hawa si wako baba, waone hivi hivi.

Hivi vikauli wanaume wengi wanakutana navyo basi tu kustahimiliana.

Sasa ikutane una stress zingine.....!
 
Back
Top Bottom