Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

Hao ndo wanaume kama mabinti, cheki na lisura lake kama kenge, mwanaume gani un akuwa mpumbavu kiasi hicho.
 
Haya maamuzi mengine huwa mabaya sana, sasa hao watoto amewanywesha sumu kwa kosa gani?

Unamkata mtoto panga la kwanza analia, na mwenzie anakutazama, bado unamkata la pili, la tatu, mpaka anakata roho, then unamgeukia mtoto mwingine, this is insanity.

Huwa siamini kam kuna ugomvi usio na solution hapa duniani, sawa hasira hupanda, lakini pia ukijipa muda zitashuka, na ukishazoea majaribu ya mwenzio, sioni sababu kwanini yawe yanakupandisha hasira kila wakati.
 
Kuoa / kuolewa ni zaidi ya kurusha dege la kivita. Kwa mtu ambaye amelelewa mayai mayai ni vigumu sana kudumu kwenye ndoa. Ndoa ni zaidi ya majukumu. Vijana wengi (sio wote) wanaingia kwenye ndoa kichwa kichwa. Malezi mazuri ni jambo muhimu sana kwa wanafamilia vinginevyo vifo vya aina hii vitazidi kuongezeka siku hadi siku.

Wajibu wa baba na wajibu wa mama uchukue nafasi yake katika familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…