Chalamila ana umri gani?Mwekezaji mzawa katika sekta ya mifugo huko Ihefu mkoani Mbeya amekutwa amejinyonga kwenye mti porini baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na askari wa Idara ya Maliasili.
Baba wa marehemu amesema mwanae amejinyonga kwa kuhofia ufukara na umaskini baada ya kunyang'anywa ng'ombe wake wote ambao wamehifadhiwa ofisi ya wilaya.
Naye mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila amekiri kupata taarifa za tukio hilo na ametaka serikali isihusishwe kwa namna yoyote ile na uamuzi wa mwekezaji huo kujinyonga kwani huo ni uamuzi wake binafsi hakuna aliyemshinikiza.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Tatizo ni muundo wa kile kichwa,watu sampuli ile ni hovyo sanaChalamila ana umri gani?
Nyololo IringaChalamila anatumia "BANGE" ya wapi?
ya mwanza itakuwaaChalamila anatumia "BANGE" ya wapi?
Kuna umuhimu wa kuwajenga wananchi kuwa na mawazo chanya katika mapambano.
Kwa nini asiwaze kuwashughulikia waliokamata mifugo yake?
Kweni alihisi ndo mwisho wa maisha?si angeenda kutatua tatizo huko wilayani,ni jambo baya na la kusikitisha lakini hata mimi nasema huo ni uamuzi wake binafsi na usiokua na mashikoMwekezaji mzawa katika sekta ya mifugo huko Ihefu mkoani Mbeya amekutwa amejinyonga kwenye mti porini baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na askari wa Idara ya Maliasili.
Baba wa marehemu amesema mwanae amejinyonga kwa kuhofia ufukara na umaskini baada ya kunyang'anywa ng'ombe wake wote ambao wamehifadhiwa ofisi ya wilaya.
Naye mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila amekiri kupata taarifa za tukio hilo na ametaka serikali isihusishwe kwa namna yoyote ile na uamuzi wa mwekezaji huo kujinyonga kwani huo ni uamuzi wake binafsi hakuna aliyemshinikiza.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Nyololo Iringa
Yawezekana alitoa maagizo wale ng'ombe wakombolewe kwa kiasi fulani cha fedha kama chanzo kipya cha Serikali kujiongezea mapato.Chalamila amepanic!
Mi nawaza alivyokamatwa kwanini wasengechukua ng'ombe watano tu wakamwachia 45? Na wangemwambia tukikukuta tena tunachukua 5 wengine hadi akili imkae sawa mwekezajiChalamila amepanic!
kama alivyo kauzu
Ili kuweza kukabiliana na changamoto za maisha na maendeleo ya dunia, wananchi wanatakiwa wawe na mtazamo chanya katika kujilinda wao binafsi na mali zao.Kama Hayati Mwamba, Shahed Said Mwamwindi wa kule Iringa?
Acha dharau, kutwa mnakula nyama mnadhani zinatoka wapi?Kama ni wale wafugaji/Wachunga mufugo I stand with the government.
Uamuzi wa huyo mfugaji (tena siyo wafugaji ni wachunga mifugo) kujinyonga uheshimiwe. Ameona ni heri kufa kuliko kuacha kuharibu mazingira
Uoga tu,kujiajiri ni kazi ngumu.Chalamila amepanic!
Hahahahaha 🤣🤣🤣 "God save us for future use."Hii ENGLISH mkuu hebu ipitie taratibu
Kifo hakina chama. Apumzike kwa amani mwekezaji mzawa.Mwekezaji mzawa katika sekta ya mifugo huko Ihefu mkoani Mbeya amekutwa amejinyonga kwenye mti porini baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na askari wa Idara ya Maliasili.
Baba wa marehemu amesema mwanae amejinyonga kwa kuhofia ufukara na umaskini baada ya kunyang'anywa ng'ombe wake wote ambao wamehifadhiwa ofisi ya wilaya.
Naye mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila amekiri kupata taarifa za tukio hilo na ametaka serikali isihusishwe kwa namna yoyote ile na uamuzi wa mwekezaji huo kujinyonga kwani huo ni uamuzi wake binafsi hakuna aliyemshinikiza.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kama wa Le mutuz!Chalamila ana umri gani?