Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Anko gani huyo utaye mmiss?RIP anko tutakumiss sana tu haya mambo yalishaisha sasa yanaanza kurudi
Kidogo inaanza kutia wasiwasi.Mama akija kushituka, itakuwa teyari too late wacha aendelee kuwakumbatia.
Mnamiss kimoyomoyo ila vinywani mnashindwa kukiriMama akija kushituka, itakuwa teyari too late wacha aendelee kuwakumbatia.
Kwa nini Mama alaumiwe?Kidogo inaanza kutia wasiwasi.
Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao..
Kashapimika tayariNaona wanampima mama.
Kazi iendeleee
Mstari huo wa mwisho naona kama unajibu mstari wa kwanza mkuu, hivi umejaribu kuwaza kidogo ulipokuwa unaiandika hiyo mistari?Kwa nini Mama alaumiwe?
Je, ni kweli kwamba Mama ameagiza Polisi waache kushughulika na UHALIFU na WAHALIFU?..
Ww kubali tu kwamba tutamkumbukaMama akija kushituka, itakuwa teyari too late wacha aendelee kuwakumbatia.
Umeandika ushuzi tupuPolisi ndio majambazi wenyewe. Huyu mama acha acheke na nyani atavuna mabua soon. Inatakiwa hii nchi sasa hivi miji mikuu yote ilindwe na JWTZ. Udokozi ujambazi na ujinga ujinga unarudi kwa speed ya mabomu ya Israel. Magufuli nilikuwa simkubali kwa mambo mengi sana ila yule dume halikuwa hataki ujinga wa kisengesenge kama huu. Jiwe alikuwa kiboko wasomi na elimu aliwageuza chekechea jiulize kuna mtu na elimu ya mwisho kbs alikunywa dawa ya Madagascar bila kupenda halafu leo anagomea chanjo ya covid 19. Magu mungu akuweke unapostahili, ila ulijua kuchezea na ndeze wabongo.