Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,570
- 2,076
Kabisa, yeye alikuwa anawachana live bila kupepesa macho. Na hakuishia kwa polisi tu,alienda mbali mpaka kwa mahakimu na majaji wa mahakama kuu.Walizoea kipindi Cha kikwete kupeana michongo na majambazi si mwendazake akawaeleza kbsa namna wanavyoshirikiana nao wakaacha huo ujinga now wanaona bi mkola mpole wameanza kuturudisha kulekule mwendazake katika vitu nilimkubali jwa hili moja tu pumzika unapostairi
Kwasasa kutembea na hela nyingi ni risk sana mkuu ,kazi za ujenzi unampa engineer mkuu au fundi mkuu ,jukumu la kulipa mafundi ni fundi mkuu ,wewe unamalizana na fundi kwa advanace kabla hata fundi kuanza,wewe unaenda site kuangalia maendeleo tu na si kuwalipa mafundi.Labda aikuwa ananda kuwalipa Mafundi/vibarua.
Badala ya kulaumu majambazi unamlaumu rais! Chuki zenu kwa mama Samia zitaisha lini? Unataka kutuaminisha kipindi cha huyo mjomba wako uhalifu haukuwepo? Roma, Mo Dewij na matukio ya maiti kuokotwa kwenye viroba ni kipindi cha utawala upi vile? Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu nalo hukumbuki? Usipokumbuka haya hakika utakuwa kiazi mviringo..!!Kidogo inaanza kutia wasiwasi.
Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao.
Hivi polisi nao wamebadili utendaji kazi wao uliokuwa umedhibiti uhalifu wa aina
Samia atalinganishwa na mtangulizi wake katika baadhi ya mambo, na ataonekana hatoshi kabisa!
Kwa nini tunabeba cash,badala ya kutumia njia za kutransifa pesa,njia za kibenki,tigopesa,M pesa,Airtel money,Eazypesa T pesa?Afande sina cha kueleza, taarifa zinajitosheeza hapa chini!
View attachment 1792209
Tukio la kusikitisha limetokea leo mchana maeneo ya Juliana Mbezi beach ambapo Jimson Kibiki amefariki baada ya kupigwa risasi.
Kutokana na vyanzo vya mashuhuda Jimson alivamiwa alipokuwa ametoka bank na kuporwa na majambazi kiasi cha fedha ambacho mpaka sasa hakijajulikana.
Baada ya kupigwa risasi alipatiwa huduma ya kwanza na kusaidiwa kufika kituo cha afya lakini baada ya kufika hospital akapoteza maisha.
Jeshi la polisi bado linaendelea na uchunguzi na tutaendelea kukujuza kila kinachoendelea.
Hakuna kushtuka wala nini,tunashindwa kutumia njia za muamala ya kipesa?Tunabeba cash?Mama akija kushituka, itakuwa teyari too late wacha aendelee kuwakumbatia.
Tunashindwa kutumia njia za muamala ya kibenki?Tigopesa,M pesa,T pesa,Eazy pesa,Airtel money,kulipana?Huu uporaji wa kutumia silaha unaendelea kushamiri, kuna rafiki yangu ni mwalimu katika chuo cha NIT alijeruhiwa pia alipokuwa anatoka kutoa fedha katika ATM maeneo ya kijitonyama
Umenena maneno ya ukweli,kabisa.Dawa yao ni kuwapa wale vyuma tu....Halafu katika zama hizi bado watu wanashindwa kutumia technology kufanya manunuzi? Haina haja ya kwenda bank kuchukua mzigo mkubwa ,wa nini? Kama unaenda kununua kiwanja,gari or malipo yeyote si unafanya bank transfer? Kama vimilioni viwili au vitatu si unatransfer tu kwenda kwenye mobile? Usiangalie gharama jali uhai.
Kamanda Sirro, suspect mwingine huyu hapa. Kushabikia uhalifu ni uhalifu pia.Watu si mlitaka Uhuru wa kufanya kazi bila bugdha.?.
Sasa hivi na majambazi nao wamepewa Uhuru wa kufanya kazi zao.
Nadhani soon mzunguko wa Ela utaongezeka mtaani kwa Uhuru tuliopewa.
still jukumu la ulinzi wa ndani ni la polisi wanauchukua kodi. basi polisi wasiwrpo tujilinde wenyewe. ukiona watu wa nchi flani wanajilinda wenyew na polisi wapo, basi ujue serikali imefeliSasa unata kuniambia kama nimetoka bank posta kuchukua hela naenda kongowe kununua kiwanja ,njia nayopita askari wawe barabarani wamejipanga kwa mstari hadi Kongowe? Unajua ratio ya askari mmoja ni raia wangapi? Swala la ujambazi alimalizwi kwa njia kama unazofikiria wewe...Ujambazi ni mtandao,njia unazosema wewe askari wa kulinda labda kumaliza VIBAKA.
mfumo gani unaotaka wewe? vyeo vya IGP, RPC, RC, DC, PC etc mfumo huo upo kama kawaida, tusaidie wew labda unataka mfumo ganiNdiyo hasara ya kumtegemea mtu mmoja kama mganga wa mvua wa kijiji. Suluhisho ni kujenga MIFUMO imara ya utawala itakayohimili mabadiliko yoyote yale iwe ya uongozi wa mtu au chama kilichoko madarakani.
Nchi za wenzetu zilizoendelea huwezi kuona utendaji wa jeshi la polisi unafifia kisa tu rais wa nchi amebadilika au chama kilichokuwa kinatawala hakipo tena madarakani.
Kama ni kweli matukio haya yana tokea awamu hii simply because kuna mabadiliko ya uongozi basi ni dhahiri tuna mfumo mbovu sana wa utawala kupindukia. QED.
Ila bado changamoto ipo maana hata huyo inginia anahitaji cash ili amalizane na Mafundi/vibarua.....kwa hiyo lazima mzigo utoke Benki.Kwasasa kutembea na hela nyingi ni risk sana mkuu ,kazi za ujenzi unampa engineer mkuu au fundi mkuu ,jukumu la kulipa mafundi ni fundi mkuu ,wewe unamalizana na fundi kwa advanacek kabla haya ya fundi kuanza,wewe unaenda site kuangalia maendeleo tu na si kuwalipa mafundi.
Kuna ndugu yangu nlimuagizia gari japan,nikaenda CRDB PPF Tower kwa ajili ya kutuma pesa ,kuangalia rate ya USD pale CDRB ilikuwa kama 1660 Tsh kwa 1 USD kununua ,ukienda pale Posta ssh amon mabango yanaonyesha wanauza kwa 1600 Tsh kunatofauti kama ya 60 Tsh ,kutuma japan ni USD 3600 ,Ukipiga mahesabu kutoka nje na 5.8m kurisk maisha na kusave 216K au kutransfer TT hapo hapo Bank? Nikaona ni bora kutuma CRDB humo humo ndani kuliko kusave 210k ,Fedha inatafutwa ila life likitoka ndio ntolee baba jane BYE BYE.
hahaha jamaa mjinga sana, eti mfumo au hajui maana ya mfumoAcha ujinga wewe mfumo gani umekosekasekana sasa?
Huyu atakuwa anamjua vizuri , na huenda anawajua waporaji wa uncle wakeAnko gani huyo utaye mmiss?
Wakati mwingine tunawasingizia banker sababu ntumishi wa benki anapata wapi muda wa kuwapanga majambazi wakati mteja ndio kwanza amechukua cash dirishani ...Kuna banker kauza ramani.
Mama afanyeje kwa mfanoMama akija kushituka, itakuwa teyari too late wacha aendelee kuwakumbatia.
Tumerudi TENA tumerudi TENA.