hahaha kumbe we ndio ffw1625gMshikaji uliyecheza naye na mimi nimeruka naye.
Ila nimesahau paswed so nimeingia kama gest game ya kwanza kapasuka kwa kete tatu ya pili nimempiga kawaida
View attachment 1841643View attachment 1841644View attachment 1841645
basi ipo as default maana hata mimi nimeshangaa eti nacheza na mdau gemu bado mbichi nakuta naambiwa nime loose
basi ipo as default maana hata mimi nimeshangaa eti nacheza na mdau gemu bado mbichi nakuta naambiwa nime loose
Nikimbie hivyo hivyo.Wewe jipendeze uone moto, kesho jioni tutafutane.
Unatumia jina gani ili nikikupata nikupe dozi , hafu nije kukujibu huku , who are u by the way😲😲😲 me ni bigwa wa mabigwaKwa hili neno ulilokuja nalo wewe ndiye umemfunga scars halafu ukaniambia kamlete tura wako. Nikakuweka ukakimbia
Kwa sasa ni ffwd1625gUnatumia jina gani ili nikikupata nikupe dozi , hafu nije kukujibu huku , who are u by the way😲😲😲 me ni bigwa wa mabigwa
Taja jina lakoUnatumia jina gani ili nikikupata nikupe dozi , hafu nije kukujibu huku , who are u by the way😲😲😲 me ni bigwa wa mabigwa
ngoja nikutafutaTaja jina lako
Zedudu nataka niruke na ww.ngoja nikutafuta
Unaweza sukuma kete.Natia kambi
Kijana wewe ni tura inatakiwa Nikuuzie copy tu, haiwezekani ukawa na point 1014, Yani umepigwa mpaka umeshuka daraja ,. Nimekuona point zako ulipokuwa unaangalia mechi yangu mida flani, we kimabao bado sanaKwa sasa ni ffwd1625g
Wewe umecheza kitula sana na huyu Ff1665gWe jamaa nicheki kwa ID ya Dariusrr nikutest uwezo wako.
Fungua tableWe jamaa nicheki kwa ID ya Dariusrr nikutest uwezo wako.
Hahahah sasa si uje unifundishe.Kijana wewe ni tura inatakiwa Nikuuzie copy tu, haiwezekani ukawa na point 1014, Yani umepigwa mpaka umeshuka daraja ,. Nimekuona point zako ulipokuwa unaangalia mechi yangu mida flani, we kimabao bado sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni uwezo tu.