Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio

Huu ni Upotoshaji mkubwa sana wenye nia ovu ya kuuchonganisha Umma.
 
Mbinu ninayoijua sema ni ya kiasili ,ni hivi mtoto anapozaliwa unatakiwa kuwatuma watu hawa mama yako ,bibi yako ,shangazi yako, dada mkubwa kweny familia yenu ,waende kumuona mtoto ile siku ya kwanza kabla yako wewe (baba) .

Hao wanajua kabisa hii ni damu ya ndugu yao ila kabla hata wewe kumuona mtoto ,hii mbinu wanyakyusa wanatumia sana sio rahisi kupigwa labda hawa wanaoishi mjini.
 
Ndoa ni Ujasusi.

KATAA NDOA KATAA KUWA USHUSHUSHU!

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Hakuna kitu kama hiki we mangi, ushahidi unaoweza kujua huyu ni mtoto wako ni DNA tu.

Unaweza lea mtoto hata wa ndugu zako wa kuzaliwa pamoja kwa kigezo kuwa mnafanana

Pia watu wengi weusi wanafana. Think outside the box
 
Wanamkagua kiasili ,DNA zina viashiria kweny maungo ya nje ,jaribu kufuatilia.
Hujajibu swali langu

Je akiwa mtoto wa ndugu yako?

kipindi cha nyuma uchagani ni kawaida sana watu kula mashemeji zao. Hata baba mkwe ilikuwa rahisi kumla mke wa mwanae kutokana na kuwa watu wengi walikuwa wanaacha wake zao nyumbani

Kiasili sio njia sahihi ya kujua huyu ni mtoto wako wa damu
 
Wanachoangalia ni michoro ya kwenye viganja vya mkono. Hakuna kingine.
 
Kwamba umepigwa na ndugu yako ? πŸ˜…πŸ˜… Watu wanajua kuna traits za mtu hazifanani hata kadri mtoto anavyokuwa wanajua tu .
 
Kulingana na alama za kiganja chako wewe ni damu yangu kabisa, mama yako anaitwa nani?
 
Kwa nadharia hii kiganja chako kinafanana na cha baba yako na cha ndugu zako na cha babu zako

Je mtoto hawezi kuwa wa ndugu zako?
Ni kweli. Weakness ya njia hii kwamba ukichapiwa na ndugu yako haiwezi kung"amua.

Lkn tatizo siyo kubwa sana. Kwasabb michepuko mingi hufanyika nje ya wa ukoo.
 
Kwamba umepigwa na ndugu yako ? πŸ˜…πŸ˜… Watu wanajua kuna traits za mtu hazifanani hata kadri mtoto anavyokuwa wanajua tu .
Haha sasa wewe unazungumza vitu huku unakataa

Umesema kuwa utafanana na baba yako na utafanana na watoto wako

Je ndugu zako hawatafanana na baba yako wala watoto wake

Je baba zako wadogo na wakubwa hawatafanan na baba yako ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…