Hayo hayo makubwa ukitafuna domo linajaa mimaji kama mjamzito kweli mabilingani kibokoπ€£π€£We utakuwa unaongelea yale mabilinganya (mabilingani) yale makubwaaa hayana ladha. Zanzibar kuna mabiilingani madogo madogo yana kokwa nyingi. Hayo pishi lolote yanakubali. Lkn zaidi ya kukaanga tena yapikwe na maganda yake. Mmhh, yummy πππ
Hayo maharage kama gololi ni njugu mawe. Ukitaka nilale njaa pika hayo hata jikoni sitakuja.πBiringanya β bomoa
πNdizi napenda mzuzu tu zingine β
πCabbage β
πDagaa inategemea na upishi, mpishi akiwa na CPA nakula zote kasoro kigoma zile kama vijiti vya ngubiti hapana.
πMboga za majani kwangu ni tembele, majani maboga, spinach OG, mnavu.β
πNyanya chungu β
πMaharage ila usiunge na chochote zaidi ya kitunguu majiβ
πMacaroni au noodles β
πDenguβ
πKuna maharage flani ya gololi yakipikwa yanakuwa kama mahindi ya kande nimesahau jina lake.β
πMlendaβ naona kama nakula denda la ng'ombe
Aiseeee naweza piga mtu mimi..Ajipikie mwenyewe tu au na hio pia kesi?
We ule wali wako na chukuchuku π
Vipi ile mboga ya moto unaipenda?1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Bora figili, mimi sili spinachi mboga mbaya sana sijui alieigundua alikua anatafuta nini.Kwa namna ile mboga inayofanana nakubali kabisa kuliwa kama lettuce,, the way ilivyo ungwa that day ilinifanya nipate taste moja Mbaya sana π£
Yap. Figili inaliwa raw, bila kupikwa. Na ina kiazi chake cheupe hivi kinawashawasha ila kuna watu wanakila pia.Kwa namna ile mboga inayofanana nakubali kabisa kuliwa kama lettuce,, the way ilivyo ungwa that day ilinifanya nipate taste moja Mbaya sana π£
π Wewe ungekua unakaa na mimi ungekua ushaniua. Nyanyachungu na jamii yake nazipenda kama napika nyama, samaki au dagaa napenda kuchanganya.Aiseeee naweza piga mtu mimi..
Alafu unajua nakuaga na hasira mbaya sana mtu akipika kitu sipendi mfano hapo kapika NYANYACHUNGU na ugali
Hiyo siku naweza piga mtu mpaka wakaja polisi..
Akijipikia basi aombe apikie kwa jirani mimi nipo very sensitive kwa harufu ya hayo madude tuu
Ndiyo maana kila mtu kaumbwa na maonjo ya ulimi wake.1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Yap. Figili inaliwa raw, bila kupikwa. Na ina kiazi chake cheupe hivi kinawashawasha ila kuna watu wanakila pia.Kwa namna ile mboga inayofanana nakubali kabisa kuliwa kama lettuce,, the way ilivyo ungwa that day ilinifanya nipate taste moja Mbaya sana π£
Tena utumbo ukichanganywa na mboga za majani niwe na mtindi pembeni naweza kula kilo moja ya ugali.Utumbo ni mboga??
Yaan mi nikiona tu mtu yupo karibu na hivo vitu naona kabisa nishapotezana nae aiseee....π Wewe ungekua unakaa na mimi ungekua ushaniua. Nyanyachungu na jamii yake nazipenda kama napika nyama, samaki au dagaa napenda kuchanganya.
Wee kumbe jau πππππTena utumbo ukichanganywa na mboga za majani niwe na mtindi pembeni naweza kula kilo moja ya ugali.
Kama ni wakiume basi tumekukosa hapo kwa mlenda1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Hakuna cha kufatilia TBC wala nini basi tu huwa nazipenda.Yaan mi nikiona tu mtu yupo karibu na hivo vitu naona kabisa nishapotezana nae aiseee....
Mi hii ya NYANYACHUNGU mpaka ukoo sasa unaenda kujua aiseee...
Kama una uwezo wa kula NYANYACHUNGU bila shaka huwa unafatilia kipindi cha aridhio TBC1 sio
bora hata yangekua mabisi, ila yenyewe ni mahindi ya kukaanga kwenye mkaangoMahindi ya kukaanga si ndio mabisi hayo?
Mbona tamu. Shida ni wengi wanaipika vibaya. Ni mboga yangu pendwa haipiti wiki bila kuipika.Kabichi ndiyo sielewi watu wanazielewaje?
Huwa unafatilia hizo vipindi vyenu vya mapishi nini πππππHakuna cha kufatilia TBC wala nini basi tu huwa nazipenda.