Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Sadin!!?Na kuna yale madagaa fulani makubwa yana Miiba kama samaki Yani yale ndo huwa sitaki hata kuyaona....kama nikiwa ugenini ukitaka kunifukuza we nipikie tu yale madude yani ukinipa mchana..jioni nakuaga naondoka zangu hutokuwa na haja hata ya kunifukuza.
Toa chinese weka kabichi na mchicha ,hizo ndio mboga zangu pendwa ,bora uninyime nyama kuliko hizo mboga1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Mimi njugu mawe hata ile harufu yake sipatani nayo.Hayo maharage kama gololi ni njugu mawe. Ukitaka nilale njaa pika hayo hata jikoni sitakuja.
Mimi basi nyanya chungu ziungwe za nazi hlf zifanye km kuungua hivi kdg...mmhh naweza kuzila bila ht wali au ugali π.Aiseeee naweza piga mtu mimi..
Alafu unajua nakuaga na hasira mbaya sana mtu akipika kitu sipendi mfano hapo kapika NYANYACHUNGU na ugali
Hiyo siku naweza piga mtu mpaka wakaja polisi..
Akijipikia basi aombe apikie kwa jirani mimi nipo very sensitive kwa harufu ya hayo madude tuu
Unawazimu wewe πππππππMimi basi nyanya chungu ziungwe za nazi hlf zifanye km kuungua hivi kdg...mmhh naweza kuzila bila ht wali au ugali π.
Nilivokuwa mdogo nami sikuwa nazila ila saiviii mmhhh huwa nazinunua mwenyewe na kuzipika.
Halafu vyakula vyenye faida ndio vimekosa bahati
Binafsi mrenda ni mpaka niulie kijiko maake feel yake ni kama makamasi. Na hapo nakula pasi na kuutazama. Kuna yale Maboga1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Et vyakula vyenye faida πππππMimi basi nyanya chungu ziungwe za nazi hlf zifanye km kuungua hivi kdg...mmhh naweza kuzila bila ht wali au ugali π.
Nilivokuwa mdogo nami sikuwa nazila ila saiviii mmhhh huwa nazinunua mwenyewe na kuzipika.
Halafu vyakula vyenye faida ndio vimekosa bahati
Et zifanye kama zimeungua hivi πππππ kichwani una nini weweMimi basi nyanya chungu ziungwe za nazi hlf zifanye km kuungua hivi kdg...mmhh naweza kuzila bila ht wali au ugali π.
Nilivokuwa mdogo nami sikuwa nazila ila saiviii mmhhh huwa nazinunua mwenyewe na kuzipika.
Halafu vyakula vyenye faida ndio vimekosa bahati
Kwa nini mkuu!Wee kumbe jau πππππ
Mikazo 0 kumbe πππππSipendi maziwa ya mgando ingawa nikiwa kwenye mazingira magumu hakuna namna nyingine nayagonga kibishi.
Unakula vtu vya ajabu mkuu πππKwa nini mkuu!
Hupendi utumbo uliochanganywa na mboga za majani mkuu?π€£Unakula vtu vya ajabu mkuu πππ
We tamu hatariii. Halafu unaweka na kibinzari ya manjano. AlooooooEt zifanye kama zimeungua hivi πππππ kichwani una nini wewe
Hiyo combinations ulisoma wapiHupendi utumbo uliochanganywa na mboga za majani mkuu?π€£
Sema wewe kumbe jau et...We tamu hatariii. Halafu unaweka na kibinzari ya manjano. Aloooooo
Nishatamani
Nimeona watu wenye pressure ya kupanda wanakula sn wanasema zinashusha. Nikimuona marehemu mama akizipika sn akisema zinamsaidia kwa pressure. Sa kipindi hiko mie ndio nlikuwa sizielewi na ule uchungu wakeEt vyakula vyenye faida πππππ
Una matatizo wewe
Mbona unapikwa sana, sehemu kibao wanachanganya utumbo na mnafu/vu, we wa wapi mzeeπ€£Hiyo combinations ulisoma wapi
Eehwaaah ndio hizo hizo...Kwangu ni sumuHayo maharage kama gololi ni njugu mawe. Ukitaka nilale njaa pika hayo hata jikoni sitakuja.