Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Una uhakika dada?Alipora kwenye akaunti za matajiri
Ndo ukweli wenyewe.Una uhakika dada?
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Ukimaliz kuuliza hilo swali jiulizw JK aliwezaje kuongeza mishahara ya watumishi na kutoa ajira kila mwaka alafu magufuli huyo huyo mpaka anafariki alitoa ajira 6000 tu tena kwa sababu ya Lissu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alisema matajiri wataishi kama maahetani sasa safari hii imegeuka masikini wanaishi kama mashetaniTunaambiwa matajiri walidhurumiwa masikini tukaingia mkenge kuwatetea sasa masikini tunakamuliwa hakuna Tajiri anatutetea. Wanyonge muache viherehere
Kwahiyo gawio hakuna Tena?Zilikuwa zinatoka kwenye GAWIO maana utasikia nyie huko hamjatoa gawio
Kabisa.kafunga jiwe kichwani uyoAt what cost,acha ujinga.
MfyuuuAlitoza kodi kubwa na kunyang'anya hela za wafanya biashara. Ambapo sasa zimepungizwa, ili kuiwezesha secta binafsi kukuwa na hivyo kutengeneza ajira nyingi kwa watanzania.
Lkn pia vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari walilazimishwa kuvinunua kwa Tsh. 10,000. Kwa kila mmoja.
Alianzisha tozo za kupiga mihuri ya mifugo yote nchini kwa kila ng'ombe Tsh. 3000. Ko wenye ng'ombe zaidi ya 500. Ziliwatoka nyingi.
Pia aliwatoza machinga Tsh. 20,000. Kwa kila mmoja kwa mwaka. Ambayo kwa sasa haipo.
Kuunganishiwa umeme kipindi hicho ilikuwa Tsh. 320,000, lkn sasa ni Tsh. 27,000.
KO HIVI NDIVYO VILIKUWA VYANZO VYA JPM NYAKATI ZAKE.
Wewe hujui kwamba kuna kiwango fulani cha kukopa kila baada ya muda fulani na utaendelea kukopa baada ya muda huo kupita?!Kikomo cha kukopa?
Ile tililioni 2 ambayo mama kakopa juzi ulimkopesha wewe
Kwahiyo gawio hakuna Tena?
Kikwete aliachiwa nchi na hayati Mkapa ikiwa imepata misamaha ya kodi ila alishindwa kutuvusha akabaki kushangaa kwanini nchi masikini bado.Kikwete ndio tungejiuliza alitoa wap hela
Magu alinyonya wafanyabaishara sana (akikukuta na bil bank anataka mgawane otherwise anafunga ac)
Mama ananyonya maskini
Why wasimuulie mzee wa msoga akifanyaje
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Aliachiwa nchi ikiwa imepewa misamaha ya mikopo lakini alishindwa kutuvusha, eti kuongeza misamaha, uliza pia misamaha ya mikopo aliyoachiwa na Mzee Mkapa alifanya nini?Kikwete ndio tungejiuliza alitoa wap hela
Magu alinyonya wafanyabaishara sana (akikukuta na bil bank anataka mgawane otherwise anafunga ac)
Mama ananyonya maskini
Why wasimuulie mzee wa msoga akifanyaje
Ni zile alizokuwa ananyang'anya wafanyabiashara unadhani zilikuwa zinafanya kazi gani na zile za kutoongeza mshahara miaka 5 wafanyakazi na zile za kukwapua mifuko ya hifadhi ya jamii hadi kutolipa wastaafu.Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Alijenga vingapi ? Yaani vituo 450 miaka 6 si upumbavu huu? Unadhani mama hawezi fanya hayo? Anaweza Sana ila huo ni utoto kwa sababu kuna kata 3956 na vituo ni 756 tuu sasa hao wengine itafikiwa vipi?Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Huo u champions sijui ni upi maana ndani ya miaka 6 kilichokamilika ni flyover ya Tazara na ubungo,,kama Kuna kingine wekeni hapaYule ni mwamba.
Ingawa nae alifanya unyanganyi kwa kutumia task force.
Ila jamaa ni champion kwa miundombinu. Tena tungempa na hizi tozo aaaa..
In 10 yrs chuma alikuwa anaibadili hii nchi kuwa na miundombinu bora kabisa.
Afya, elimu, barabara na utawala. Apumzike kwa amani.