Mbona majanga kila Mahali? Arusha nayo yakumbwa na mafuriko, magari yasombwa

Niliona GIZA limeifunika Tanzania.

Ni suala la muda tu.
 
Wakati waja na hauko mbali kwani jinai haiozi.
Lini sasa acha kujitia stress bure,mlisema magufuli.ana mbena,magufuli hayupo hakuna aluyefungua kesi,mkasema mama atafungua kesi dhidi yake waoi mama ndo anazidi kumpa vyeo.

Utakufa kibudu
 
Lini sasa acha kujitia stress bure,mlisema magufuli.ana mbena,magufuli hayupo hakuna aluyefungua kesi,mkasema mama atafungua kesi dhidi yake waoi mama ndo anazidi kumpa vyeo.

Utakufa kibudu
Lile bwege la chato ndiyo lilikufa kibudu.
 
Jichanganye 😂
Hiyo fizikia ndio ulisomea pale msalato galz?
 
Leo kuna mafuriko Kisongo Arusha. Nayo yamesababishwa na Bwawa na Nyerere alilojenga Hayati Rais Magufuli!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…