Mbona orodha ya matajiri Tanzania, Kenya, Uganda wengi ni Waarabu na Wahindi na si waafrika weusi?

Mbona orodha ya matajiri Tanzania, Kenya, Uganda wengi ni Waarabu na Wahindi na si waafrika weusi?

Ngozi nyeusi ina matatizo ya ubinafsi.

Hatuwazi mbali. Kila mmoja ni mbinafsi anajiwazia yeye tu na familia yake. Wapo waliofika mbali hata familia yake tu anaifanyia ubinafsi.

Unakuta mzee ana mali, lakini watoto wanahimizwa kila mtu kutafuta maisha yake.

Umasikini unadumaza akili zetu. Trust me, ukiwa masikini hata uwezo wa kufikiri unashuka..

SULUHISHO: Apatikane Rais mwingine kama Magufuli. Siasa uchwala na demokrasia za magharibi sio suluhisho kwa nchi iliyojaa wabinafsi na masikini wengi.
 
Ukiangia orodha ya watu matajiri Nchini Kenya na Tanzania utakuta Wahindi na Waarabu ndio wanaongoza kwa mali na utajiri

Cheki orodha ya watu matajiri nchini Kenya hapo chini.


Tizama pia list ya matajiri kutoka Tanzania.

Na hapo kwenye list ya Tanzania ni kwa bahati mbaya tu Reginald Mengi naye alifariki hivyo orodha kubaki na Wahindi na waarabu watupu.

Uganda nayo list ndio kama ifuatavyo


Ukitizama hizo Top Five yote orodha utaikuta wengi ni Wahindi na Waarabu, na waafrika weusi ni mmoja mmoja.

SWALI: Hivi waafrika weusi wa Kenya, Uganda, Tanzania tunafeli wapi.... Wanakuja waarabu na wahindi wanawekeza kwetu wakishapata pesa za kutosha wananunua uraia hili wasiporwe mali zao. Wazawa kwenye orodha ya Utajiri tumebaki kutoleana macho tukisifia Wahindi na Waarabu kwa kuwekeza kwetu, hawamu inayofuata watakuwa wachina.

Wazungu hawawezi kuwekeza kwa sababu ya hile hali ya kuwatafsiri kama mabeberu au wakoloni, hivyo mara nyingi ulazimika kuoa mke au kupata business partner wa kitanzania hili biashara ziende. Hila hawa Waarabu na Wahindi kwa sababu hawatafsiriwi kama mabeberu na wakoloni wamekuwa wakiteka maeneo, na kuanzisha mambo kadha wa kadha bila vizuizi na wakifanikisha basi wachache kwenye familia inabidi wabadili uraia kuwa watanzania hili mali ziendelee kubaki mikononi mwao, ikumbukwe kwa sheria za Tanzania haziruhusu raia mgeni kumilki ardhi, labda aoe mke wa kitanzania ambaye ndio atatumika kumiliki ardhi au abadilishe uraia, wazungu wamekuwa wakitumia hii ya kuoa, huku waarabu na wahindi wamekuwa wakitumia hii ya mmoja kwenye familia yao kubadili uraia hili kupata kibali cha umiliki wa mali na ardhi.

Wanaijeria kidogo wao ndio wanatamba kwenye ardhi yao, ni ngumu sana kumkuta muarabu au muhindi kwenye list ya matajiri huko Nigeria, South Africa wao wazungu na Wahindi ndio wanakimbiza kwa utajiri huko kwao.

Waafrika mashariki tunafeli wapi mpaka wahindi na waarabu wanatamba kwenye ardhi yetu kwa rasilimali zetu? Nini kifanyike kuweza kuongeza orodha ya matajiri wenye asili ya kitanzania kwenye orodha yetu kama Reginald Mengi?
Sasa unataka kuwa mlowezi halafu maskini utakuwa na maana kweli? Ni sawa na wewe uende ugenini na bado unataka uwe omba omba hadi nauli wakupe! Utakuwa mgeni kweli au mzigo?
 
Ukiangia orodha ya watu matajiri Nchini Kenya na Tanzania utakuta Wahindi na Waarabu ndio wanaongoza kwa mali na utajiri

Cheki orodha ya watu matajiri nchini Kenya hapo chini.


Tizama pia list ya matajiri kutoka Tanzania.

Na hapo kwenye list ya Tanzania ni kwa bahati mbaya tu Reginald Mengi naye alifariki hivyo orodha kubaki na Wahindi na waarabu watupu.

Uganda nayo list ndio kama ifuatavyo


Ukitizama hizo Top Five yote orodha utaikuta wengi ni Wahindi na Waarabu, na waafrika weusi ni mmoja mmoja.

SWALI: Hivi waafrika weusi wa Kenya, Uganda, Tanzania tunafeli wapi.... Wanakuja waarabu na wahindi wanawekeza kwetu wakishapata pesa za kutosha wananunua uraia hili wasiporwe mali zao. Wazawa kwenye orodha ya Utajiri tumebaki kutoleana macho tukisifia Wahindi na Waarabu kwa kuwekeza kwetu, hawamu inayofuata watakuwa wachina.

Wazungu hawawezi kuwekeza kwa sababu ya hile hali ya kuwatafsiri kama mabeberu au wakoloni, hivyo mara nyingi ulazimika kuoa mke au kupata business partner wa kitanzania hili biashara ziende. Hila hawa Waarabu na Wahindi kwa sababu hawatafsiriwi kama mabeberu na wakoloni wamekuwa wakiteka maeneo, na kuanzisha mambo kadha wa kadha bila vizuizi na wakifanikisha basi wachache kwenye familia inabidi wabadili uraia kuwa watanzania hili mali ziendelee kubaki mikononi mwao, ikumbukwe kwa sheria za Tanzania haziruhusu raia mgeni kumilki ardhi, labda aoe mke wa kitanzania ambaye ndio atatumika kumiliki ardhi au abadilishe uraia, wazungu wamekuwa wakitumia hii ya kuoa, huku waarabu na wahindi wamekuwa wakitumia hii ya mmoja kwenye familia yao kubadili uraia hili kupata kibali cha umiliki wa mali na ardhi.

Wanaijeria kidogo wao ndio wanatamba kwenye ardhi yao, ni ngumu sana kumkuta muarabu au muhindi kwenye list ya matajiri huko Nigeria, South Africa wao wazungu na Wahindi ndio wanakimbiza kwa utajiri huko kwao.

Waafrika mashariki tunafeli wapi mpaka wahindi na waarabu wanatamba kwenye ardhi yetu kwa rasilimali zetu? Nini kifanyike kuweza kuongeza orodha ya matajiri wenye asili ya kitanzania kwenye orodha yetu kama Reginald Mengi?
Pia wanarithishana na kusaidiana....wanajiajiri.....hawapotezi muda shule kusoma vya kuajiriwa
 
'na kwann matajiri wengi ni wanaoitwa wavaa kobazi? Wagalatia wao wanafeli wapi?wakati kutwa wanaponda wavaa kobazi kuwa eti hawana elimu,

Wagalatia wengi mtaani ndio wapangaji kwenye nyumba za wavaa kobaz,

Walevi wengi ni wagalatia, aisee dini zenu hizii!!
Mbona wakati wa mfungo bia na kiti moto vinadoda? Na malaya wengi wanafunga.
 
Indians ni wakwepa kodi wakubwa Canada

Hakuna Muhindi anataka fanya kazi kwa muhindi mwenzake, wanadhulumiwa hatari

Wanatafuta watu wasio na vibali wanawafanyisha kazi kwa "cash" ambapo hata akikudhulumu huna pakushtaki
Wameiharibu sana canada imekuwa kama mumbai
 
Ukiangia orodha ya watu matajiri Nchini Kenya na Tanzania utakuta Wahindi na Waarabu ndio wanaongoza kwa mali na utajiri

Cheki orodha ya watu matajiri nchini Kenya hapo chini.


Tizama pia list ya matajiri kutoka Tanzania.

Na hapo kwenye list ya Tanzania ni kwa bahati mbaya tu Reginald Mengi naye alifariki hivyo orodha kubaki na Wahindi na waarabu watupu.

Uganda nayo list ndio kama ifuatavyo


Ukitizama hizo Top Five yote orodha utaikuta wengi ni Wahindi na Waarabu, na waafrika weusi ni mmoja mmoja.

SWALI: Hivi waafrika weusi wa Kenya, Uganda, Tanzania tunafeli wapi.... Wanakuja waarabu na wahindi wanawekeza kwetu wakishapata pesa za kutosha wananunua uraia hili wasiporwe mali zao. Wazawa kwenye orodha ya Utajiri tumebaki kutoleana macho tukisifia Wahindi na Waarabu kwa kuwekeza kwetu, hawamu inayofuata watakuwa wachina.

Wazungu hawawezi kuwekeza kwa sababu ya hile hali ya kuwatafsiri kama mabeberu au wakoloni, hivyo mara nyingi ulazimika kuoa mke au kupata business partner wa kitanzania hili biashara ziende. Hila hawa Waarabu na Wahindi kwa sababu hawatafsiriwi kama mabeberu na wakoloni wamekuwa wakiteka maeneo, na kuanzisha mambo kadha wa kadha bila vizuizi na wakifanikisha basi wachache kwenye familia inabidi wabadili uraia kuwa watanzania hili mali ziendelee kubaki mikononi mwao, ikumbukwe kwa sheria za Tanzania haziruhusu raia mgeni kumilki ardhi, labda aoe mke wa kitanzania ambaye ndio atatumika kumiliki ardhi au abadilishe uraia, wazungu wamekuwa wakitumia hii ya kuoa, huku waarabu na wahindi wamekuwa wakitumia hii ya mmoja kwenye familia yao kubadili uraia hili kupata kibali cha umiliki wa mali na ardhi.

Wanaijeria kidogo wao ndio wanatamba kwenye ardhi yao, ni ngumu sana kumkuta muarabu au muhindi kwenye list ya matajiri huko Nigeria, South Africa wao wazungu na Wahindi ndio wanakimbiza kwa utajiri huko kwao.

Waafrika mashariki tunafeli wapi mpaka wahindi na waarabu wanatamba kwenye ardhi yetu kwa rasilimali zetu? Nini kifanyike kuweza kuongeza orodha ya matajiri wenye asili ya kitanzania kwenye orodha yetu kama Reginald Mengi?
Wakati hao wenzetu wanasaka pesa nyie mlikuwa mnakata viuno kuimba nyimbo za kusifu na kuabudu mlisema zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti 😁😁
 
Hao hawashindi baa na kusahau majukumu yao na ni wachapakazi haswa. Saa 24 wanapatika kurebisha changamoto zinazotokea kwenye shughuli zao.
Wanajua cashflow na ni calculated risk takers.
Mtz akiongea ka kingereza kdg anaona ameongea vtu hatar hatar vyakisomi


Hta ungeandika kisukuma mama n mama tu iwe kwa kichina au kihehe. So ishu za cashflow sjui risk taker si useme tu kw kiswahil kwan maana itabadirika[emoji1787][emoji23][emoji28][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Hili ndio jibu sahihi na itaendelea hivyo mpaka watu weusi watakapo amka
We
Ukiangia orodha ya watu matajiri Nchini Kenya na Tanzania utakuta Wahindi na Waarabu ndio wanaongoza kwa mali na utajiri

Cheki orodha ya watu matajiri nchini Kenya hapo chini.


Tizama pia list ya matajiri kutoka Tanzania.

Na hapo kwenye list ya Tanzania ni kwa bahati mbaya tu Reginald Mengi naye alifariki hivyo orodha kubaki na Wahindi na waarabu watupu.

Uganda nayo list ndio kama ifuatavyo


Ukitizama hizo Top Five yote orodha utaikuta wengi ni Wahindi na Waarabu, na waafrika weusi ni mmoja mmoja.

SWALI: Hivi waafrika weusi wa Kenya, Uganda, Tanzania tunafeli wapi.... Wanakuja waarabu na wahindi wanawekeza kwetu wakishapata pesa za kutosha wananunua uraia hili wasiporwe mali zao. Wazawa kwenye orodha ya Utajiri tumebaki kutoleana macho tukisifia Wahindi na Waarabu kwa kuwekeza kwetu, hawamu inayofuata watakuwa wachina.

Wazungu hawawezi kuwekeza kwa sababu ya hile hali ya kuwatafsiri kama mabeberu au wakoloni, hivyo mara nyingi ulazimika kuoa mke au kupata business partner wa kitanzania hili biashara ziende. Hila hawa Waarabu na Wahindi kwa sababu hawatafsiriwi kama mabeberu na wakoloni wamekuwa wakiteka maeneo, na kuanzisha mambo kadha wa kadha bila vizuizi na wakifanikisha basi wachache kwenye familia inabidi wabadili uraia kuwa watanzania hili mali ziendelee kubaki mikononi mwao, ikumbukwe kwa sheria za Tanzania haziruhusu raia mgeni kumilki ardhi, labda aoe mke wa kitanzania ambaye ndio atatumika kumiliki ardhi au abadilishe uraia, wazungu wamekuwa wakitumia hii ya kuoa, huku waarabu na wahindi wamekuwa wakitumia hii ya mmoja kwenye familia yao kubadili uraia hili kupata kibali cha umiliki wa mali na ardhi.

Wanaijeria kidogo wao ndio wanatamba kwenye ardhi yao, ni ngumu sana kumkuta muarabu au muhindi kwenye list ya matajiri huko Nigeria, South Africa wao wazungu na Wahindi ndio wanakimbiza kwa utajiri huko kwao.

Waafrika mashariki tunafeli wapi mpaka wahindi na waarabu wanatamba kwenye ardhi yetu kwa rasilimali zetu? Nini kifanyike kuweza kuongeza orodha ya matajiri wenye asili ya kitanzania kwenye orodha yetu kama Reginald Mengi?
kwa sababu sisi tuko huku tunawajadili wao hali ya kuwa wao wanazitafuta muda huu
 
Waafrika mashariki tunafeli wapi

Ni utamaduni wa kutorithisha mali kuanzia kwa babu kwenda kwa baba hadi itufikie sisi vijana haupo.

Na sisi vijana hatutaki kubadili utamaduni huo.

Nigeria tajiri mkubwa Dangote amezaliwa ktk familia ya kibiashara na wamempatia dondoo ya mafanikio ya biashara tangu akiwa mtoto katika familia

Tusiwalaumu wenzetu wa jamii ya asili za kiarabu na kihindi wala tusisubiri kuwa serikali itakufundisha utajiri hupatikana vipi, bali tuelewe kuwa siri huanzia ndani ya familia. Bila kufundishwa hivyo ktk ngazi ya familia na ukoo hata leo ukishinda bahati nasibu ya mabilioni utaitapanya ndugu yangu mmatumbi.
 
WWe
Mzee wa Kino sababu yako ina mashiko ila siikubali 100%. Mwaka 1967 tuliwanyang'anya matajiri hasa wahindi mali zao na kuzitaifisha lakini miaka zaidi ya 50 baadae bado wapo wanaongoza uchumi wetu... miaka ya Sokoine pia watu walifilisiwa lakini hakuna matokeo yoyote yaliyopatikana. Baadae ndo haohao tuliowanyang'anya mali zao tukaanza kuwauzia mali zetu kwa bei ya kutupwa kwa kile kinachoitwa ubinafsishaji. Huwa ninawaambia watu matatizo yetu yameanzia mbali sana tangu enzi za mababu zetu. Jiulize wakati mababu wa kizungu wanaijenga Eiffel Tower pale Paris mwaka 1905, babu zetu walikuwa wanafanya nini? Mzee wa Kino bado tuna shughuli pevu sana kujikomboa. Kuna wapuuzi watasema tatizo ni CCM bila kukumbuka kwamba hata hao wapinzani hawajawahi kuja na suluhisho nini kifanyike zaidi ya kulalamika. Sasa hivi kuna crisis ya dola ila sijasikia mpinzani akitoa suggestion ya kitaalamu zaidi ya kulalamika.
We mburura kweli kweli! Mpinzani atatoaje solution wakati haongozi?!
 
Back
Top Bottom