Mbona sijawahi kuona tangazo la Safari Lager au Serengeti Lite kwenye chaneli za Azam?

Hata wa simba na yanga utakuwa haramu kwako kutokana jinsi utakavyo utazama utavyo ushabikia.
Mfano ww ukienda kununua jezi ya simba yenye nembo ya m bet tiyari ww unadhambi ya kuvaa nguo inayo tangaza kamari.
Hata ukiutazama itakuwa dhambi hakuna namna mpira huo utakuwa halali
 
kwani lazima????????????????????
 
1.Uharamu katika mavazi.
2.Uharamu katika matangazo ya vitu vya haramu kama pombe na kamari.
3.Uharamu katika kusababsha watu kuzembea ibada.
Kuuza genge,duka, shule kuna hivyo vyote,utasema shule haram, kwenye mpira vazi gani haramu!!
 
watu hawataki pesa za haramu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…