Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani πŸ€”

Kwani wewe mwenzetu ni kabila gani mpaka ukanyimwa hizo akili?

Maana mimi ninachofahamu akili ni nywele....!!
 
SIFA SA WAHAYA

1.HIGH IQ MORE THAN 150 KWENDA JUU

2.WANAWEZA KUNYANDUA VZURI KULIKO KABILA LOLOTE TZ

3.WAHAYA NI KABILA LILILOTAWALIWA NA UVUMBUZI NA UBUNIFU KATIKA NYANJA ZOTE

4.HAWATUMII NGUVU DARASANI HATA MUDA MWINGINE HAWAHITAJI WALIMU

5.WANAJUA HESABU KULIKO WACHAGGA WANAOKARIRI.

6.WAHAYA NDO KABILA LA KWANZA KWA WALIOSOMA WENGI WAKIFUATIWA NA WASUKUMA NA WANYAKYUSA

7.WAHAYA WANA ROHO NZURI SANA KULIKO KABILA LOLOTE BONGO
 
Siri kubwa ni lishe tu.

Hii haiwahusu wasukuma waliozaliwa mjini..ni sisi tuliozaliwa kijijini tumekuzwa na maziwa fresh ya ng'ombe wa kienyeji...tunakunywa hata hayachemshwi..hapo kuna viazi vitamu..karanga..njugu..maharage..mafuta ya alizeti..kunde...maboga n.k
 
Kweli kabisa
 
Hii sifa inaenda inafutika taratibu

Siku hizi kuna makibila mengi tu wamepata uelevu

Ikiwemo : wanyakusya wakurya wazaramo wajaruo wanyamwezi n.k so ni suala la muda tu
 
 
Hii sifa inaenda inafutika taratibu

Siku hizi kuna makibila mengi tu wamepata uelevu

Ikiwemo : wanyakusya wakurya wazaramo wajaruo wanyamwezi n.k so ni suala la muda tu
Hahaha sidhani nature ni ngumu sana ifute hii kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…