Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna staff member anahama muda huuu hahaahKwa experience yangu na ya nyie wengine humu Jf na huko mtaani, tumezoea watu wengi wanaohama makazi/nyumba au vyumba vyao huhama wakati wa usiku....je kuna kipi nyuma ya pazia kwa raia kutumia usiku kuhama na si mchana?.......
Privacy.Kwa experience yangu na ya nyie wengine humu Jf na huko mtaani, tumezoea watu wengi wanaohama makazi/nyumba au vyumba vyao huhama wakati wa usiku....je kuna kipi nyuma ya pazia kwa raia kutumia usiku kuhama na si mchana?.......
ha ha nakumbuka zamani kipindi nipo mdogo huko mkoani watu walikua wanalalia magodoro ya maranda ya mbao hivyo siku ya kuhama usiku kama kawaida anaanza kubeba vyote kisha godoro analitelekeza!![/QUOTE 😁😁😁😁those moment day....Godoro dodoma umechangia pakubwa kwel ni changes kubwa mikoa in this days......We no longer again in uses of local mattress
Daaah[emoji23][emoji23][emoji23]Uchafu wa magodoro, uchafu wa vifaa vya ndani, na wengine hawataki kuonekana kwa wadeni wao
Kuna staff member anahama muda huuu hahaah
Nakusubiri huku uje tuhame usiku huu ili wale mbu wetu wasionwe na watu[emoji16][emoji16]kunguni usiku hawaonekani vizuri
haya tuhame usiku huu huuNakusubiri huku uje tuhame usiku huu ili wale mbu wetu wasionwe na watu[emoji16][emoji16]