Uchaguzi 2020 Mbowe aitahadharisha Tume ya Uchaguzi kuhusu tuhuma za kupanga njama ya kumuengua Lissu kwenye mbio za Urais

Uchaguzi 2020 Mbowe aitahadharisha Tume ya Uchaguzi kuhusu tuhuma za kupanga njama ya kumuengua Lissu kwenye mbio za Urais

Hili hapa andiko lake

Watanzania wenzangu, tuna masaa 24 kwa NEC kuweka Msingi wa Amani ya Tanzania. Mkakati wowote wa kuengua kwa hila wagombea wetu utapokelewa kwa kishindo kikubwa. #NoLissuNoElection!#SasaBasi! Uzalendo uonyeshwe kwa kusimamia haki na si vinginevyo.


Huyu jiwe bila kumpinga na kumpa wakati mgumu atatuona wote kama hamnazo. Vyama makini vya upinzani viungane kumsusia uchaguzi huyu mtu ili atawale mwenyewe.
 
Mkuu wanafiki na wachumia tumbo ndivyo walivyo. Wanaujua ukweli husika lakini siku zote huweka maslahi ya matumbo yao mbele badala ya maslahi ya Taifa na raia wake wote.

Huyu eti leo ni kiongozi wa ccm ambaye anakataa tume huru .
 
Huyu jiwe bila kumpinga na kumpa wakati mgumu atatuona wote kama hamnazo. Vyama makini vya upinzani viungane kumsusia uchaguzi huyu mtu ili atawale mwenyewe.
ni hasara kubwa kumwachia nguruwe shamba la mihogo , tutamdhibiti vibaya sana jukwaani
 
Msingi wa amani ni haki ndiyo maana tunaamrishwa kutenda haki ili amani
itamalaki.

Wakoloni walipingwa na babu zetu kwa kuwa walikuwa hawawatendei haki babu na bibi zetu.

Sehemu yoyote ambako haki haitendeki hutakuta amani.Hata kama wale watu wanaonyimwa haki zao ni wanyonge watajaribu kujitetea pamoja na unyonge wao .

Amani bila haki yafaa nini , tujitahidi kuilinda amani yetu maana tunaipenda nchi yetu ambayo ndiye mama yetu.

Chonde chonde wote wanaohusika tunaomba uchaguzi wa haki na huru masuala ya kuwaamua mtuachie sisi wapiga kura maana sisi tutashindana kwenye masanduku ya kupigia kura kila mtu na mgombea wake nyie mtulie tu maana hakuna aliyeletwa na Mungu.

Wakati mwingine huwa naamini hii dunia ingekua na amani kama kusingekuwa na siasa.
 
Kuna jambo hapa limepangwa na si bure.

Wapinzani bila shaka wana informers ndani ya hii ya serikali, hivyo habari hii si ya kupuuza na tukumbuke hata Lissu jana aliongelea jambo hili.

Wacha tusubiri,kesho sio mbali ila wajue tu, watatufikisha wanakotaka lakini na wao pia wakiwemo maana wote tuko kwenye jahazi moja.

Ishara za awali(iwapo kweli upo huo mpango), ni kesho kuwa na ulinzi usio wa kawaida katika Mahakama ya Kisutu na maneno ya jirani, na hata Makao Makuu ya CHADEMA nayo yanaweza kuzungukwa na ulinzi wa aina hiyo-mtazamo wangu.

Na kwa tweet hii,sitashangaa kusikia Mbowe kaitwa kwa mahojiano au anashikiliwa.
Unaposema wapinzani wana informers ndani ya hii serikali mimi nakukatalia.

Ila ninaamini kuwa haohao watu unasema wa serikali hawaitaki hii serikali iliyopo madarakani.

Kwahiyo hawa watu wenyewe tu wanaamua kujirisk kumwaga data sababu hata wao wamechoka aiseeee.
 
Haki ni pamoja na Lissu kufuata SHERIA na taratibu tulizoziweka. Tume fanyeni kazi yenu. Kama vipi wazee wa kazi mtakutana nao barabarani. Acheni kujihami kwa kuwatisha Tume na watanzania.

JPM tuko nyuma yako. Kila mtu atahukumiwa sawasawa na matendo yake. Kwanini Lissu asihukumiwe kama atakuwa amekwenda kinyume na utaratibu?
Uko nyuma yake wewe na familia yako ,sisi hatuko naye kabisa.
 
Hili hapa andiko lake

Watanzania wenzangu, tuna masaa 24 kwa NEC kuweka Msingi wa Amani ya Tanzania. Mkakati wowote wa kuengua kwa hila wagombea wetu utapokelewa kwa kishindo kikubwa. #NoLissuNoElection!#SasaBasi! Uzalendo uonyeshwe kwa kusimamia haki na si vinginevyo.


Utafanya nini wewe Bwashee! Unadhani kutishia dola ni sawa na kunywa Konyagi kubwa?

Katika vyama vyote vya siasa umeona chama gani ambacho mgombea wake alifanya mikutano ya hadhara wakati wa kutafuta wadhamini?

Sasa naomba akatwe alafu tuone mtafanya nini!
 
Back
Top Bottom