Kwanini awamu iliyo pita miliponda kazi zote za JPMMkuu ukiwa kiongozi lazima uwe flexible, huwezi expect kutumia mbinu zile zile ushinde. Tumekuwa radical tokea 2000 ila Serikali haikuwahi tenda haki Sasa tumeamua kuwa diplomatic na Serikali inakubali mazungumzo naona ni njia nzuri.
Kwanini tuingie barabarani ilihali mezani tunaweza pata suluhu? Umeona Kenya, Odinga kaamua kutumia meza kuupata urais na imezaa matunda atapelekwa Ikulu Hata kwa wizi wa kura!! so nadhani path tuliyochukua sio mbaya tusubiri matokeo tukiona hayazai matunda obviously tutarudi Ground kujipanga upya
Kovu linalotokana na mihemukoKwani walivyokuwa wakienda bungeni nilikuwa naenda nao, mpaka useme walipoitisha maandamano sikutokea? Kwa taarifa yako hapa nilipo nina kovu la jeraha kwa ajili ya maandamano hayo ya CDM. Sasa ufahamu kila jambo lina timing yake. Huko kwenye maandamano tulikuwa tunaelekea, ilihitajika uvumilivu fulani.
Kitu ambacho hakipoKwa hiyo nyie mnasubiri huruma ya CCM mmuingie madarakani?
La kutokubali kuongozwa na Ccm kwa shuruti.Kovu linalotokana na mihemuko
Kovu linalotokana na mihemuko
Siku zote mtu anapokua na tabia fulani basi huamini kua na watu wengine wana tabia kama yake,wakubwa tumekuelewa,Hivi kwanini wewe shaka uwa unarembua macho [emoji1787] watu wanadai wewe ni bwabwa ?
Kufongoooka diyo nn?Sasahv nnch imefongoookaaa
Watakaofutwa machooozi.... AMECHAGUKIWA AH!Sitanunulika Kwa cheo chochote, Kwa kiasi chochote cha Fedha, sitaogopa Gereza Wala kupoteza Mali zangu Kwa ajili ya kuwatumikia Watanzania siku zote katika uhai wangu wote. Ninachokiamini nitakisimamia siku zote, sitatetereka kwamwe.-Mhe. Mbowe(Clubhouse).
Binafsi nimpongeze Mbowe kwa mapambano ya muda mrefu na kwa mafanikio aliyoyapata kwenye siasa za upinzani.Sasa ni dhahiri, wale wanachadema na wanaharakati kama,Lema Martin Maranja Masese, Maria Sarungi wanaotegemea Siasa za mitafaruku na vurugu ili kujipatia mkate wa Kila siku, siku zao zinahesabika, na watafute kazi nyingine.
Wale waliokuwa wanatishia kuingia barabarani, haitawezekana tena. Mbowe kaona hii sio njia sahihi ya kujenga nchi.
SSH2025/30
SOFTpowerTechniques.
ChangeOfStrategy
View attachment 2250798
Sasa ni dhahiri, wale wanachadema na wanaharakati kama,Lema Martin Maranja Masese, Maria Sarungi wanaotegemea Siasa za mitafaruku na vurugu ili kujipatia mkate wa Kila siku, siku zao zinahesabika, na watafute kazi nyingine.
Wale waliokuwa wanatishia kuingia barabarani, haitawezekana tena. Mbowe kaona hii sio njia sahihi ya kujenga nchi.
SSH2025/30
SOFTpowerTechniques.
ChangeOfStrategy
View attachment 2250798
Ila Jambo wasahau wanadhani ccm ni watoto kwenye siasa . hakuna ukombozi unakuja kwa kuungana na adui kamweKitu ambacho hakipo
Unajuaje, pengine hivi vikao ni kwa nia ya kukubaliana juu ya namna ya kupata katiba mpya iliyo bora bila ya mikwaruzano?Siasa sio uadui ama mapambano kila siku..ila kwa mwendo huu na wasiawasi na mwenendo wa mwenyekiti.
Kwahiyo harakati za kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ndio zimeumaliza mwendo?
CCM chama dume!! Tulishasema CCM itatawala milele.