Mbowe akiri kuukubali "mziki" wa Rais Samia, agomea wana-Chadema kuingia barabarani, asema ni mihemko

Halafu kuna nyumbu bado zinaamini Mbowe ni mpinzani.!!
 
Mama anaupiga mwingi Sana
 
Naungana na Mbowe.

Kama utajenga uadui ja Samia, sijui utakuwa unataka nini:

Mimi siyo mpiga debe wala sijawahi kuwa mtetezi wa Rais au CCM, ila kwa hakika, Samia ameonesha uongozi tuliokuwa tunaukosa. Ametuunganisha Watanzania. Ameonesha maana ya kuwa kiongozi ni nini.
 
Watu wanataka waone watu wakifarakana kila siku inasikitisha sana,wote wa Tanzania lengo moja why muwe maadui mzee wa watu hana mambo ya uswahili muacheni!
 
SPIKA WA BUNGE LA WANANCHI MHE CELESTIN SIMBA AKIZUNGUMZA NA WAKAZI YA JIMBO LA KILOMBERO

 
4 June 2022
CLUBHOUSE

PART II : Freeman Mbowe | Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Ameongea na WanaDiaspora~Tanzania Duniani


Source : America swahili news
 
..ukichunguza utagundua kwamba Ccm ni kupe na wanafuja fedha za umma kuliko chama chochote.

..angalia ma-V8 wanayotamba nayo mitaani wakati watoto wetu wanasoma kwa shida, hawana madarasa, na shule hazina matundu ya vyoo.
Mi wala hata siipendi CCM but I think the whole multi-party system in a country like ours is a fucked up system.
 
Mi wala hata siipendi CCM but I think the whole multi-party system in a country like ours is a fucked up system.

..it is fucked up bcoz of Ccm.

..they are the ones who have been gaming the system to favour their party.

..and they scare of and discourage good and competent ppl frm joining other parties.

NB:

..mwaka 2020 wagombea zaidi ya 500 wa udiwani wa Cdm walienguliwa na tume ya uchaguzi.

..wakati huohuo hakuna mgombea hata mmoja wa Ccm ambaye amewahi kuenguliwa na tume tangu tuingie vyama vingi.

..Nakuelewa kabisa unaposema the System is fucked up. Na nafikiri unaelewa ni nani aliyesababisha hali hiyo.
 
Ni sawa lakini lazima tujiulize, msimamo wa zamani wa CDM umesaidia nini, na katika masilahi mapana ya mabadiliko ya kidemokrasia na maendeleo, tumefanikiwaje? Pia, badala ya kupinga tu msimamo wa sasa wa chama, kwanini tusioneshe njia mbadala!?
Kama ni kuingia barabarani, au kufanya nchi isitawalike kwa migomo na maandamano, ni nani hao watakao hamasishwa washiriki?! Hawa hawa washabiki wa Simba na Yanga?!
Imani ya chama ni kumshawishi kila mtu atusikilize, sasa hivi tunajaribu kushika sikio la, Mazaa na lichama lake! Wakiukubali muziki wetu, kuna shida gani?!
 
Kuna muda unafika lazima kuachana na uanaharakati na kufanya siasa zilizokomaa. Ameamua kuachana na mawazo na fikra nyepesi za kupinga kila kitu.

SSH ameonyesha ushirikiano na kupenda siasa za amani, Mbowe kaona hakuna sababu ya kumvimbia kiongozi wa nchi mwenye mawazo chanya na asiye na kiburi.

CCM wanaweza kuwa ni wale wale lakini unatazama nia ya moyoni ya kiongozi mkuu na unaona kabisa uanaharakati haujengi na hauna mwelekeo mwema.
 

Mbowe anaingizwa mjini na bibi wa kikojani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…