Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

Ni heri chama kife kuliko Lissu kuwa mwenyekiti, we unacheza nini. Nani mjinga aanzishe taasisi yake halafu ichukuliwe kiboya kwa kejeli na matusi.
Mbowe mwisho wake tarehe 21 January. Lissu ndiye mwenyekiti ajaye,wana Chadema ndiyo wameamua wewe nenda mkachague makamu wenu huko Dodoma ya huku tuachie wenyewe hayakuhusu.
 
Si mtoe tu tangazo rasimi kuwa CHADEMA ni Chama Cha Mbowe
 
Lissu amewahi kuanzisha nini kinachoisaidia jamii inayomzunguuka? Jibu hili. Anasifu vijana waliowahi kuanzisha taasisi lakini yeye hana hata bustani ya miche ya miti ya kivuli.
ati mbowe alianzisha nini?
 
Alianzisha operation "okoa uonevu wa kisheria Kwa watu nchini" na akaisimamia project yake Hadi ikatambulika kwenye migodi ya nyamongo!!
 
Me nadhani si kila mtu amezaliwa kuanzisha kitu fulani wengine ni kwa ajili ya kuendeleza mawazo ya walioanzisha.
 
Mbowe mwisho wake tarehe 21 January. Lissu ndiye mwenyekiti ajaye,wana Chadema ndiyo wameamua wewe nenda mkachague makamu wenu huko Dodoma ya huku tuachie wenyewe hayakuhusu.
Alinacha
 
Si mtoe tu tangazo rasimi kuwa CHADEMA ni Chama Cha Mbowe
Kwani ulikuwa hujui;kuwa TLP ni ya mrema, UMD cha Cheyo, NLD ya kigoma, DP ya mtikila, chadema ya Mtei na Mbowe na Hashim Rungwe, Zito kabwe, Wana vyao na lipumba ana chake.?

Lipumba Yuko pale CUF kwasababu ya familia ya Mapalala nalo hilo hulijui?

Wacha tuone namna Lissu atakavyoiteka mali ya mtu binafsi na kuwa yake kwa kejeli na matusi.
 
Me nadhani si kila mtu amezaliwa kuanzisha kitu fulani wengine ni kwa ajili ya kuendeleza mawazo ya walioanzisha.
Coca-cola ni mali ya mtu milele hata kama aje nani kuendeleza. Unapoitaja CCM umeitaja familia ya Nyerere na karume. Watoto na wajukuu wao lazima wawemo TU hata kama ni machizi au wazima wenye akili na wasio na akili kama baba zao.
 
ati mbowe alianzisha nini?
Huu Uzi aliuanzisha Lisu mwenyewe kwa kuwasifu vijana waliowahi kuanzisha taasisi zenye manufaa kwa jamii, lakini akamsahau kumtaja Mbowe aliyeanzisha chadema akiwa Bado kijana. Huo ndio udhaifu wa Lissu. Lissu anaweza kusababisha chadema kifutwe na msajili wa vyama kwenye daftari lake,
 
Hawa Wameshiba Magimbi,Ni Aibu Kwa Kuandika tena kwakujiamini Eti Chadema Ilianzishwa na Mbowe😂😂😂

Wawe wanasoma na kujilizisha kwanza kabla ya Kuandika Uzi
Wafundishe BAVICHA historia ya chadema Wacha kujitonesha mwenyewe. Waambie nani alianzisha chadema na namna alivuokianzisha na gharama/mtaji alizotumia.

Waelezeni BAVICHA namna Mbowe alivyoupata uwenyekiti na kwanini Mbowe Yuko mwenyekiti kwa miaka 21 lakini Mzee Mtei Yuko comfortable.

Muulizeni Mzee Mtei about the succession plan ilivyo na itakavyokuwa baada ya Mbowe.
 
Hawa Wameshiba Magimbi,Ni Aibu Kwa Kuandika tena kwakujiamini Eti Chadema Ilianzishwa na Mbowe😂😂😂

Wawe wanasoma na kujilizisha kwanza kabla ya Kuandika Uzi
Chama ni kama bendi ya mziki, ukitofautiana na mwenye bendi unamwachia bendi yake na kwenda bendi nyingine, kuanzisha bendi yako au kuachana na music kabisa, hakuna zaidi ya hapo. Mwl. Nyerere alipoamua kuachana na uwenyekiti wa CCM ni yeye aliyemtafuta nani wa kumwachia; alimtafuta Mzee Ali Hassan Mwinyi yeye mwenyewe, na kisha Mzee Mkapa yeye mwenyewe. Aliwakataa akina Lowassa na John Malecela.
 
Huwa mnatumia matakoo kuandika?

Watu wajinga huwa mnakua na wivu wa kike Kwa watu wenye akili.

Kwahiyo, Mbowe ndo alianzisha CHADEMA??.
Lissu ana akili kuliko kuliko Zito, Prof. Mkumbo, Nasari, Tumbili, na wengine wote ambao waliondoka cdm baada ya kutoridhika na utaratibu? dawa nyepesi kwenye vyama hivi vya watu ni kupigania ubunge na udiwani na urais kupitia vyama hivyo, ukichoka unaondoka wewe.
 
We ati mbowe alianzisha nini?
Kila mtu, kila familia, kila taasisi na kila taifa lazima lina utamaduni (organization culture) wake. Utamaduni wa matusi na roporopo lazima utafutiwe taasisi yake, sio hizi zilizopo sasa ambazo tayari zina utamaduni wake. Kuna mtu hata ukimfinya watakaolia na kutoa machozi watatoka Ubelgiji na sio Tanzania, jiulize kwanini; sio wa hapa, sio wenzetu.
 
Lissu amewahi kuanzisha nini kinachoisaidia jamii inayomzunguuka? Jibu hili. Anasifu vijana waliowahi kuanzisha taasisi lakini yeye hana hata bustani ya miche ya miti ya kivuli.
Hii akili ya wapi hii? Sasa kila kijana nchi hii akianzisha chama nani atakua mwanachama? Darasa la ngapi we ngumbaru? Umepata uji leo?
 
Nassari na Tumbili ni malaya malaya wa kisiasa.
Watu wengi wametajirika kupitia cdm hiihii ya Mbowe huyuhuyu, huwezi kusimama jukwaani mbele ya camera ukasema mbowe hafai kuwa mwenyekiti kwasababu Mbowe hatukani viongozi, hagombani, hapigani, habezi viongozi. Tunatamani cdm kigeuke chama cha matusi, roporopo, migomo, kejeli na kufungia nchi ispate misaada ikibidi. Kenya wanagoma kila siku wako wapi sasa, wanapata nini sasa? Wote tunapenda mageuzi ya kwenda mbele lakini sio kuliko amani na utulivu.
 
Hii akili ya wapi hii? Sasa kila kijana nchi hii akianzisha chama nani atakua mwanachama? Darasa la ngapi we ngumbaru? Umepata uji leo?
Lissu alikuwa na maana gani kutoa mifano ya vijana walioanzisha taasisi na kumsahau Mbowe huku akijua yeye mwenye hakuanzisha kitu chochote akiwa kijana? Yeye alipaswa awe role model kwa vijana wa bavicha aliokuwa akiwahudumia. Je, vijana wa bavicha wanajua kuwa Mbowe ni miongoni mwa waanzilishi wa cdm?
 
Chama cha CDM kilianzishwa na waasisi 10 kasome documents na katika watu hao Mwamba Alkael Mbowe akiwa na miaka 30 tu alikuwa among them.

Hapendi kusema sema saana uasisi wake ila watu makini sisi tunajua.

Huyu jamaa ropo mpaka leo hana hata ka kampuni kadogo ka uwakili.

Tunasema Lissu bila Mbowe ni debe tupu
Kwa hyo tukubaliane ni taasisi yake binafsi na awe mwenyekiti/mfalme mpaka hapo muumba atakapoamua vinginevyo.
 
Back
Top Bottom