Mbowe: Hatutakubali Bunge lililopo litengeneze Katiba Mpya

Moja ya sababu kubwa ya kushindwa kukamilika kwa mchakato wa katiba mpya ni wingi wa wabunge walio kuwemo. Muda mwingi ilitumika kulumbana, kweli mapanya wengi hawachimbi shimo likaenda.
Na kushupaza shingo
 
Yaani Mbowe anamtisha Rais wa nchi? Huyu mama awe makini, kipindi cha JPM hizi kauli kama za Mbowe hakuna aliethubutu kuongea, na Ikitokea umeongea lazima uchakae
Huyo JPM yuko wapi sasa, nyie mponzeni na mama ila mjue kuwa Mungu sio binadamu, kama mama hakujifunza kwa JPM basi atajifunza in hardway kama JPM anavyojifunza in hardway uko aliko.
 
Mtu mwenyewe anaogopa hadi kivuli chake anakimbilia ughaibuni huko, watulie sasa.
 
Haya sasa. Tulisema mama asicheke na nyani atakula mabua. Wanachotaka sasa jeshi la polisi liwape kipigo kwa kuweka mikutano yao kisha waseme wameuliwa kutekwa na kuteswa.

Mbona wanaofanya mihadhara ya kidini hawatekwi, kupigwa nk wakati mikusanyiko yake inafanana ni mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa? Au kwakuwa mikutano ya dini haina madhara na madaraka ya ccm?
 
Huyo JPM yuko wapi sasa, nyie mponzeni na mama ila mjue kuwa Mungu sio binadamu, kama mama hakujifunza kwa JPM basi atajifunza in hardway kama JPM anavyojifunza in hardway uko aliko.
Kwani Baregu, Karugendo wako wapi?
Nao walimpinga mbowe?

Wewe kwa kuwa bendera fuata upepo mbowe ndiyo hutakufa??
 
Mungu naye akawa sahihi zaidi kwa kumuondoa duniani!
Kwani Baregu, Karugendo wako wapi?
Nao walimpinga mbowe?

Wewe kwa kuwa bendera fuata upepo mbowe ndiyo hutakufa??
 
Huyu mama na magufuli wote ni hovyo kabisa
 
Huyo JPM yuko wapi sasa, nyie mponzeni na mama ila mjue kuwa Mungu sio binadamu, kama mama hakujifunza kwa JPM basi atajifunza in hardway kama JPM anavyojifunza in hardway uko aliko.
Ndesamburo nae yupo wapi? Maana inaonekana unajua sana wafu walipo
 
Mama anajua pia kuwa akizingua anazinguliwa.

Kwanini isiwe tusizinguane?

Maoni na mawazo ya mama si msahafu na hii ni kwa mwingine yeyote.
Hata wwe Mzee wa Corona pia hutaki social distance,unataka Mikutano ya kisiasa kisa Katiba!? Vp hamuogopi Corona tena!?
 
Kwani Baregu, Karugendo wako wapi?
Nao walimpinga mbowe?

Wewe kwa kuwa bendera fuata upepo mbowe ndiyo hutakufa??

Hao uliowataja walikuwa wanajifanya wacha Mungu na wazalendo, huku wakiongozwa na kiburi cha madaraka?
 

..Na mimi naheshimu sana maoni yako.

..Ningependa sana wanaomuunga mkono Rais Samia wawe na lugha nzuri tofauti na awamu iliyopita.

..Rais ametoa agizo ambalo linakiuka katiba. Pia agizo hilo linakipendelea chama chake na kuvionea vyama vya upinzani.

..Mbowe ameonyesha kutokukubaliana na msimamo wa Raisi. Sijaona mahali alipotumia lugha ya matusi au kumvunjia heshima Raisi.

..Mwisho, ningekuwa mshauri wa Raisi ningemshauri amtume msemaji wake aliweke suala hili vizuri, ili lifuate sheria na katiba.

..Suala kama hili lilitokea wakati wa Rais Magufuli. Lilituletea shida kubwa. Why is president Samia repeating the same mistake.? Kwanini washauri na wapambe wanamshangilia na kumhimiza Rais ktk jambo baya badala ya kumsaidia kurekebisha?
 
Hauwajui vizuri hawa aiseee yaani hawa ni kama watani zangu wakurya bila kula vibao hawaoni kama kuna mapenzi.

..Naomba mjizuie kuhamasisha violence dhidi ya wapinzani.

..Tutajenga utamaduni mbaya wa ukatili ktk siasa zetu.

..MUNGU ametupa nafasi ya kujirekebisha kwani tulifika pabaya. Tusipoteze nafasi hii adhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…