Acheni ujinga, tunawauliza chadema kwani katiba ni kupika mbege??
Hilo ni suala lahitaji pesa,wao wanalazimisha iwe saiz,yeye samia anapata wapi pesa hiyo??
Madeni ambayo serikali imeingia juu yetu sisi Walipa kodi hayaelezeki,Tena tuingie kwenye maden mengine kisa tuh chadema wanapressurize katiba??
Alituweza sisi pekeyetu au Taifa zima??
Nan alikuwa Ana nafuu??
Sasa ahuen imeanza kuonekana badala ya wao watulie nchi ipate Aman na utulivu wanaanza leta choko choko
Amekataa kukosolewa??
Ameipinga hoja ya katiba??
Unadhan katiba ni jambo rahis kama kumkatia mumeo viuno na kumkojoza??
It needs money,hiyo budget hao wachaga wanayo??au wanazungumza tuh,
Wanataka kumlazimisha Prezoo wao kama nani??
They are just goddamed Hand to mouth politicians,waje pole pole na busara,katiba ni yetu sote wasijafanye wao ndiyo wahanga Sana,
Inawezekana una hoja ya msingi, cdm wao wameona sasa ni muda muafaka wa kudai katiba mpya, na wanafanya mikutano ya ndani, je unataka wasubiri hisani ya rais, kwani rais na chama chake wana ajenda ya katiba mpya? Hiyo kuingia mtaani wamesema wataingia kesho asubuhi?Katiba ni mchakato,kwann wanataka jambo hilo kwa kulazimisha??bajeti ya kuliendea jambo hilo wanayo hao chadema??
..haiwezekani kumlazimisha Rais Samia kuachana na ajenda zake na kushughulikia hii ya katiba mpya.
..lakini tukubali kuwa Raisi amekosea kukataza mikutano ya hadhara kwa vyama vya upinzani.
..Jambo hili lilituletea matatizo makubwa wakati wa utawala wa awamu ya 5.
..Sasa kwanini Rais anataka kuturudisha ktk matatizo na mifarakano ya awamu ya 5?
..Pia Raisi hana sababu ya kuwazuia wengine kuendeleza harakati za katiba mpya.
..Wanaotaka Katiba mpya waachwe wahamasishe na watoe elimu kwa raia.
..Raisi akisharekebisha uchumi, akisharejesha wawekezaji, na ikimpendeza anaweza kuunga mkono juhudi hizo.
..Raisi analo bunge lenye wabunge 90%++ CCM. Vilevile ana vyombo vya DOLA. Kwa msingi huo hakuna chama cha siasa chenye uwezo wa kumkwamisha ktk jambo lolote lile
Mambo ambayo Rais anaweza kuyafanya ili kuongeza imani kwetu kuwa ana dhamira nzuri kuhusu demokrasia katika nchi yetu:..haiwezekani kumlazimisha Rais Samia kuachana na ajenda zake na kushughulikia hii ya katiba mpya.
..lakini tukubali kuwa Raisi amekosea kukataza mikutano ya hadhara kwa vyama vya upinzani.
..Jambo hili lilituletea matatizo makubwa wakati wa utawala wa awamu ya 5.
..Sasa kwanini Rais anataka kuturudisha ktk matatizo na mifarakano ya awamu ya 5?
..Pia Raisi hana sababu ya kuwazuia wengine kuendeleza harakati za katiba mpya.
..Wanaotaka Katiba mpya waachwe wahamasishe na watoe elimu kwa raia.
..Raisi akisharekebisha uchumi, akisharejesha wawekezaji, na ikimpendeza anaweza kuunga mkono juhudi hizo.
..Raisi analo bunge lenye wabunge 90%++ CCM. Vilevile ana vyombo vya DOLA. Kwa msingi huo hakuna chama cha siasa chenye uwezo wa kumkwamisha ktk jambo lolote lile
Amekataa kukosolewa??
Ameipinga hoja ya katiba??
Unadhan katiba ni jambo rahis kama kumkatia mumeo viuno na kumkojoza??
It needs money,hiyo budget hao wachaga wanayo??au wanazungumza tuh,
Wanataka kumlazimisha Prezoo wao kama nani??
They are just goddamed Hand to mouth politicians,waje pole pole na busara,katiba ni yetu sote wasijafanye wao ndiyo wahanga Sana,
Huyu jamaa kawa jinga siku hizi. Hii katiba inayomfanya kiongozi kuwa Kama kimungu fulani ndiyo anaitetea leo? Ataki katiba inayomfanya kiongozi hajue hakifanya kinyume na Sheria atachukuliwa hatua. Nchi ina watu vituko sana hii.Baada mla kitimoto kuondoka Ikulu umekuja na hoja zako za kishamba za udini na ukabila ! umetia aibu sana , huna hoja kabisa , na NATANGAZA KUKUDHARAU moja kwa moja katika kipindi chako chote hiki kifupi ukichosaliwa nacho hapa duniani .
Poor you !
Wazalendo tutazama mfukoni,najua majambazi hawawezi kufanya hivyo.Katiba ni mchakato,kwann wanataka jambo hilo kwa kulazimisha??bajeti ya kuliendea jambo hilo wanayo hao chadema??
Hii haikuanza leo. Ona hapa ni ya tangu zamani, wakiwa na sapoti kubwa ya mabeberu na magazeti ya Kenya kutangazwa hoja zao:Friends and Enemies,
Mbowe na chadema wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishaziea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?
Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.
Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?
Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.
Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?
Wana ajenda gani kwani.
Umeshalainika, huo uchumi ataurekebisha mpaka lini?Rais Samia Suluhu ajielekeze kurekebisha uchumi.
Chadema wao waendelee na program zao wanazoona ni muhimu kwa chama chao.
Suala la katiba mpya siyo vibaya Chadema wakaanza nalo, na Rais Samia Suluhu akawakuta mbele ya safari ikiwa atapenda kuwaunga mkono.
Madrasa,haijawahi kutuharibu,
Infact hao wote smart leaders mwingi,kikwete and beautiful samia ni zao la madrasa,love it or hate it..
Madrasa is our pride place,don't remind about Magufuli wewe,inanihusu nin Mimi,hiyo labda nikuulize we are you missing him already??
If not why don't you give this mama a time to deliver her abligations...
Mnataka kumpangia,, mbona mwendazake hamkumpangia?
Is it because he was your fellow Christan or because of your fear??
Jokakuu,..haiwezekani kumlazimisha Rais Samia kuachana na ajenda zake na kushughulikia hii ya katiba mpya.
..lakini tukubali kuwa Raisi amekosea kukataza mikutano ya hadhara kwa vyama vya upinzani.
..Jambo hili lilituletea matatizo makubwa wakati wa utawala wa awamu ya 5.
..Sasa kwanini Rais anataka kuturudisha ktk matatizo na mifarakano ya awamu ya 5?
..Pia Raisi hana sababu ya kuwazuia wengine kuendeleza harakati za katiba mpya.
..Wanaotaka Katiba mpya waachwe wahamasishe na watoe elimu kwa raia.
..Raisi akisharekebisha uchumi, akisharejesha wawekezaji, na ikimpendeza anaweza kuunga mkono juhudi hizo.
..Raisi analo bunge lenye wabunge 90%++ CCM. Vilevile ana vyombo vya DOLA. Kwa msingi huo hakuna chama cha siasa chenye uwezo wa kumkwamisha ktk jambo lolote lile
Umeishiwa na hoja sasa umerudia zile hoja zako za kisengerema za Udini na ukabila. Akina askofu Shoo, Bagonza, Mwamakula, Niwemugiz, Kakobe mpaka akasalimu amri, hao walikuwa ni waisilamu enzi za yule dhalimu? Ni kipi ambacho haki kudaiwa enzi za huyo Magu mpaka akaishia kuteka watu, kuwabambikia kesi, kuwaaacha na vilema vya maisha? Unataka kujifanya hukuona ulevi wa madaraka aliokuwa nao dhalimu, bali unataka kuonyesha eti watu walitulia kisa ni mkristo? Kwanza yule hakuwa mkristo, bali shetani aliyekuwa anahudhuria kanisani.
Acha wanaotaka kudai katiba mpya waidai kwa mbinu zao. Nyie mnaotaka kusubiri mpaka siku rais atakuwa tayari kwakuwa ni muisilamu, hakuna aliyewakataza.
Nimsaidie na naomba na wewe uwe objective. Kwanza niseme nakubaliana na Samia kabisa kuhusu kuhitaji muda katika hili suala la Katiba. Lakini ni kweli kuwa:Jokakuu,
With all of my due respect,
Naomba nipe sehem ambapo RAIS SAMIA amepiga marufuku mikutano ya kisiasa tafadhal,
Halafu pia,hili la katiba ni lao wao chadema au la wananchi??