Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Bila Wizi na uenguaji ilikuwa tunapiga 70% kwa sababu ya mpango ya Wizi Mimi nilikuwa mwanaCCM najua
Sasa hivi tuna uhakika wa Kura za Raisi 66% ni Tundu
Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi
Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=
Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.
Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.
Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.
Haki huinua TAIFA
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Da uchaguzi huu mtam mfano balozi wangu wa shina ni mzee ,Sasa sijui ataanzia wapi kuniteka maana akiniteka nitahakikisha nakula chakula kwake mwaka mzima Tena ninachokitaka mpaka akome, mwafaa ccmNaomba niwatahadharidhe wale wanaokusudia kumpigia kura Lissu wasiongee wala kujadili vijiweni. Mabalozi wa shina wa CCM wameelekezwa kuhakikisha kuwa watu hao hawakanyagi vituoni. Posho waliyopewa wanaccm ni kuwa ni heri usipige kura ila uteke wapinzani hasa Chadema watatu na kuhakikisha kuwa hawapigi kura siku hiyo. Posho ni Tshs laki moja.
Hivyo tahadhari ni muhimu. Pia ikiwezekana siku ya kwenda kupiga kura badili njia na muda wa kutoka!
Ndio mkuu. Mimi wanipe tu kusimamia kitengo cha torture na revenge wanipe budget tu ya kujenga concentration camp huko ndani ndani longido.wameshaanza kugawana na vyeo kabisa
Nakupenda 'Kiagape' Dada.Mimi sister👍
Exit Polls ndio Ramli muhimu
Data zilisema Hilary Clinton atashinda kwa Landslide dhidi ya Trumpskiliza hii video, huku kuna data ambazo watu wamelipwa kufanya huu uchunguzi sio siasa za mahaba!
loud and clearNi hatari sana kuunga mkono chama ambacho hata viongozi wake ndani ya chama hawajaungana - waziri mkuu mstaafu Mzee Sumaye
Mbowe kaka yangu umenifurahisha sana. Yani Tundu Lissu akitangazwa tuu nakata ticket nakurudi nyumbani na sitaificha identity yangu tena humu. Nitatamani sana kuwaona yna2 na mama D na nitawabebea zawadi nyingi sana. Kama Jiwe akipitishawa kwa nguvu na mahela then I will forever never see these two women who I feel them dispite the fact I don't know them.
Na Lissu naye amkumbuke akishinda na azingue tutampindua hatutataka mchezo tena siku 100 zinapita bila Katiba mpya hatutavumilia tena.
Siamini Tanzania mpya inakuja kila Kaya itakuwa na apartments na mabomba kuwa na opshen tatu, maji Safi na salama, asali na maziwa all of them cold warm or hot ni ku switch tu.
Fakin exied.
Mungu tusaidie!
Ncha Kali
Yanini tutoane koromeo 28 sio mbali halafu tuje tukutane humuNyie mnafanya siasa za mahaba mnaacha kuweka mahaba kwa wananchi, we angalia tu hata twitter, magufuli anakaribia followers mil 1, karibia wana ccm wengi wanacheza mil 1 - mil 5, sasa chadema lissu mwenyewe ana 150K. badala muinteract na wananchi mnafanya siasa za mahaba!
- Hakuna uchaguzi chadema imeenda na haijasema huu uchaguzi ndo tunachukua nchi kila miaka mitano story ni zilezile na matokeo ni yale yale.
Data zilisema Hilary Clinton atashinda kwa Landslide dhidi ya Trump
stakehigh umefukua kaburi😆😆😆ukitaka kujua matokeo ya uchaguzi mzima wa kesho kutwa, hii video ina majibu yote! shirikisha ubongo maaana data anazosema
ni watu walilipwa kufanya uchunguzi huu utajua wap mnakosea na mwaka huu mnatoka na ngap
hahaha kila mwaka maneno ni haya haya hakuna lipya, au nkuletee post za jinsi lowasa hata uchaguzi hujafanyika kaenda kupanda dalala kutatua kero za wananchi, route ni zile zile and be asured kuna uwezekano ccm wakakutawala maisha yako yote, jumlisha 10 ya magu, jumlisha 10 ya anaekuja maaana lazima atembelee kivuli cha magu, akifanya vizuri kumi tena! ongeza miaka 30 kwenye umri ulionao saahv, na wakifanya vizuri zaidi rambo rambo yako watafanyia kampeniYanini tutoane koromeo 28 sio mbali halafu tuje tukutane humu
Asante bro wa viwango, nakukubali sanaNakupenda 'Kiagape' Dada.
Mango zangu ni kukuonyesha kuwa kura halali hadi zipigwe ndio tutajuasasa siasa za marekani ni vyama viwili, your either huku ama kule, uikusanya data its either B ama A, tanzania ukikusanya data upinzani wapo 40 tayar
Jitekenye cheek ila tarehe 28 ndio msema kwelihahaha kila mwaka maneno ni haya haya hakuna lipya, au nkuletee post za jinsi lowasa hata uchaguzi hujafanyika kaenda kupanda dalala kutatua kero za wananchi, route ni zile zile and be asured kuna uwezekano ccm wakakutawala maisha yako yote, jumlisha 10 ya magu, jumlisha 10 ya anaekuja maaana lazima atembelee kivuli cha magu, akifanya vizuri kumi tena! ongeza miaka 30 kwenye umri ulionao saahv, na wakifanya vizuri zaidi rambo rambo yako watafanyia kampeni