Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Dj na muendelezo wa comedy, na wana chama wa saccos yake wataamini hili igizo, ajabu la 8 la dunia hili [emoji16][emoji23]
Dogo nchi tunaichukua mapema saa nne asubuhi Jumatano. Si utakuwa humu nitakutag. Tatizo Mbowe katoboa siri mapema angekuwa mvumilivu tuu kuna wachawi wengi
 
Mango zangu ni kukuonyesha kuwa kura halali hadi zipigwe ndio tutajua

kwan kura znapigwa uganda, si ni wale wale watu wa tanzania ndo maana nkakwambia mm natumia factor ya 2015 nkaangalia na mwenendo wa 2020, wapiga kura ni wale wale, nkisema mwenendo wa 2020 namaanisha external factors maaana kuna ambao hawana vyama, hawa ndo external factors lakini wengine wooooote ni wapiga kura wa mahaba, yaani hata chama kifanywe nn hawabadiliki maisha yao yote ndo znaitwa kura za mahaba, mfano magufuli ana worse side yake lakini kuna watu hawataki elewa wao ni magufuli kwenda mbele na kuna watu hata lissu agekua kilema miguu yote wanapigia, ndo siasa za tanzania zilivo, hii yote ni elimu tu haijafika kwa watu, na pia kuna wengine ni wahudhuriaji wazuri sana wa mikutano lakini hawajawahi participate kwenye kura, external factors ndo kama hizi kila kitu kingine kinabaki constant
 
Marais wako wengi labda atakuwa Rais wa tff
 
Huo ni uchochezi, hakuna uhatari wowote wa kuuogopa uchaguzi, nenda katimize wajibu wako, usitishe watu
 
Upepo umebadilika sana

siasa za tanzania ni siasa za mahaba ndo maaana miaka yote matokeo ni yale yale kila uchaguzi, hata ukiangalia uchaguzi wa kutafuta mwenyekiti wa chadema matokeo ni yale yale,
 
pesa kidogo tu umeanza kujitangazia uwaziri mkuu . Ndugu mwenyekiti wa maisha mbona unatupa mawazo sisi wanachama . Hebu tulia basi unacheza na hisia zetu kama macho yako yanavyocheza . Mbowe usituchanganye ujue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hao mabalozi wa mashina walivyozeeka wataenda vijiwe vingapi ? Acha tuendelee kuwatesa tutamtaja Lissu hadi wazibe masikio .
#NiYeYe#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…