Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi

Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=

Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.

Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.

Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.

Haki huinua TAIFA

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wewe na huyo jamaa yako wote ni wapumbavu.
 
Hakuna mwenyekiti wa chama punguani kama huyo mzee. Aendelee kula faru John zake, urais atauona kwenye TV tu.
 
Msikilize Mwanamama Cecilia Pareso akimwaga Madini Arusha, Lema mdomo wazi.
Akili tupu.


 
Polisi watoka Baruti baada ya wao kulianzisha Mashambulizi yakajibiwa


😂😂😂😂
 
Ndani ya chumba uchaguzi kuna mawakala wa vyama 16 Huyo mmoja tu sijui wa chadema nani ahangaike naye.

Chadema mnaanza kuhaha.Safari hii ngoja watu wa Dar es salaam tuongoze mikoa mingine kuwanyima kura.Tumewachoka kwa mambo yenu ya kizushi na uongo yasiyoisha .Tarehe 28 October chadema mnafungashwa virago Dar es salaam for good
Mwisho wenu umefika rasmi , wanafiki wakubwa nyie
 
Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi

Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=

Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.

Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.

Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.

Haki huinua TAIFA

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nashangaa moderator anakubali kurusha uzi wa uchochezi wa aina hii. JF tunajua mwelekeo wenu wa siasa ukoje lakini achaeni upendeleo wa wazi mnaoonesha hivi sasa na kuruhusu nyuzi kama hizi tu kwa sababu zinaegemea kuchafua CCM. Kuweni fair japo najua ni ngumu kwenu
 
Inakuwaje wanajamvi!

Wanasayansi wanadai kuna hormones flan za furaha kwa binadamu hata viumbe vingine wanazo vikireact unajikuta unatoboa siri zote.

Mbowe kashajua Lissu atashinda na yeye atakuwa Waziri mkuu. Lakini amenisikitisha sana angesubiri tu hadi Jumatano saa nne asubuhi.

Jumatano si mbali akumbuke kuna wachawi wabobezi kwenye mbogamboga anaweza akapigwa juju, kimbola ama kipamphii.

Ila iyo haitatokea Mungu yupo upande wetu.

Tanzania mpya iko mbioni over the horizon maporomoko ya maziwa na asali. Ni kama waMeru wakiamua kumwaga maziwa kutoka mlimani itasomba Makabila yote.

Sasa hivi kama ni mfanya biashara mjanja NUNUA mzigo mkubwa wa fataki utatajirika. Tarehe 28/10/2020 itakuwa siku ya uhuru taifa jipya kutoka kwa mkoloni fedhuli mweusi.

Mungu tusaidie.
 
Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi

Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=

Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.

Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.

Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.

Haki huinua TAIFA

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wasijidanganye kuua wakala ndio itakuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi na hapo ndio MABEBERU watakapoingia kusimamia Uchaguzi.
 
Back
Top Bottom