Pre GE2025 Mbowe: Nimetoka mbali na Lissu, nilikuwa namlipia tiketi za ndege kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji madini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mzee umeandika headings mbili yaani kwenye kichwa cha uzi na kwenye content umeweka heading nyingine...

lete usuli
 

 
Hiyo sio sababu ya lissu kutogombea uwenyekiti wa chadema, uwenyekiti utatolewa na wajumbe wa mkutano mkuu, mbowe anataka kuua chama chake kwa mikono yake mwenyewe
 
Lisu alivyo mbinafisi na kupenda sifa hajawahi kusema hilo ila anajidai ni yeye mwenyewe.Hata la kuuguzwa kule Nairobi,imefika mahali kaka yake Lisu anasema Mbowe ni ndugu.Kama Lisu anamfanya Mbowe hivi,je mwanachama wa kawaida atamfanyaje atakapokuwa mwenyekiti!!?
 
Kwa hiyo?
 
Kuna watu wanadhani Lissu atashinda yaani Mbowe ampe Lissu Chadema.
 
Kuna watu wanadhani Lissu atashinda yaani Mbowe ampe Lissu Chadema.
Hilo hatuwezi kubali. Mbowe ndo anafaa... Ni mtu anayesikiliza. Lissu haambiliki. Mbowe ana busara sana. Na Urais aje agombee yeye. Kwa kweli chadema nawahurumia sana kumfikiria Lissu. Wakimchagua Lissu tutawapoteza vibaya sana.
 
I wish;
  • Zitto
  • Lissu
  • Lema
  • Heche
  • Gwamaka
  • Lyenda
Wajoin timu (ACT-wazalendo) ili wajipange kuuchukua uraisi 2030.
Kwa mwaka huu Lissu akiwa M/kitu inawezekana ila akipita Hitler tena tusahau
 
Mwenyekiti acha kulialia... mchaga gani unapelekewa moto na mnyampaa wa Singida? Sultani Mbowe kwa sasa uko kama mtu aliyeoa single mother.. muda wote malalamiko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…