Pre GE2025 Mbowe: Nimetoka mbali na Lissu, nilikuwa namlipia tiketi za ndege kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji madini

Pre GE2025 Mbowe: Nimetoka mbali na Lissu, nilikuwa namlipia tiketi za ndege kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji madini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Safari zake? Safari za Lissu kwenda Tarime kuwatetea wananchi dhidi ya wamiliki wa Mgodi wa North Mara na Seriksli hazikuwa 'safari zake za Tarime', zille zilikiwa ni safari zenye public interests. Mbowe hakuwa pekee aliyemchangia Lissu, wachangiaji walikuwa ni wengi sana.
Kwa hiyo Mbowe haoni faida ya wale watu zaidi ya 400 kuteyewa ma Lissu hadi wakaachiwa?
Maelezo yamekuwa ni mengi kuliko mahitaji
 
Unadhani Mbowe ameingia uadui na Lissu au Lissu ameingia uadui na Mbowe?
 
Mbowe usikubali chama chako kichukuliwe kizembe fanya kama ulivyowafanyia kina Zitto, Kafulila Chacha, Kitilia.
Mnamkanyagisha mzee wa watu!! Muacheni akae pembeni
 
“Lissu nimemjenga na nimemsaidia kwa mambo mengi. Unapokuwa hauna Shukrani kwa mambo madogo hauwezi kuwa na shukrani kwa mambo makubwa. Kuna wakati ninajiuliza huyu ni Lissu, the boy, the guy, the friend ndiyo anayasema haya?” Freeman Mbowe
Mzee anaona anataka kupolwa tonge na Lissu, mbowe must go!
 
Lissu alipoachana na mkewe wa ndoa aliyepambania maisha yake kiasi kile akaenda oa mzungu.... alipomtukana Samia yale matusi licha ya kumpa Passport na mengine mengi nilianza mtilia mashaka sana!!
Mke wa Lissu ni Mtanzania, ni mtu wa Mara kama sikosei.
 
Mbowe kupitia Crown FM anasema kwenye uchaguzi wa kwanza Lissu akiwa CHADEMA Mbowe alimpa gari yake binafsi ili akafanyie kampeni. Pia anasema Nyumba aliyokuwa akiishi Lissu pale Dodoma ilikuwa yake aliyopewa na Serikali Ila akamuachia Lissu aishi yeye Mbowe akaenda kupanga.
Ayo maneno kama anaongea huyo mzee,walahi itakuwa ameanza kurukwa na akili
 
Wanaukumbi.

Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa
Alimuona ana uwezo kichwani kisheria, ndiyo maana alimtumia. Angekuwa mbumbumbu asingemlipia ndege kuwatetea hao wachimbaji. Lakini pia hawakuwekeana mikataba kuwa asingembee. Tatu, sheria haimkatazi kugombea.
 
“Lissu nimemjenga na nimemsaidia kwa mambo mengi. Unapokuwa hauna Shukrani kwa mambo madogo hauwezi kuwa na shukrani kwa mambo makubwa. Kuna wakati ninajiuliza huyu ni Lissu, the boy, the guy, the friend ndiyo anayasema haya?” Freeman Mbowe
Kwa hiyo ulitaka Lissu asigombee ama??
 
Wanaukumbi.

Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa.
---
“Nimetoka mbali na Lissu. Nilikuwa ninamlipia Lissu tiketi za ndege ninamgharamia safari zake kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji Wadogo. Wakati huo hakua hata Mwanachama wa CHADEMA na nilikuwa nina mfadhili kwa mfuko wangu”.

View attachment 3194365
Kwa hiyo hizo ni rushwa kwake na alitakiwa kunyamaza?
Huyu mzee kaishiwa hoja.
 
Mbowe yuko sahihi. 'term limit' is by nature anti-democratic. hiyo haimaanishi kwamba ni kitu kibaya; inamaanisha tu kwamba ina-limit uhuru wa watu ku-exercise their democratic right ya kupiga na kupigiwa kura. ni kawaida kwa kitu kuwa na faida na hasara:
I am not so much against term limits as I am against the idea that the chairman's seat is Mbowe's birthright and anyone else contesting it is sabotaging the party.
 
Back
Top Bottom