bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Kwa maana hiyo Lisu kugombe uenyekiti ni kukosa shukurani Hee uenyekiti umezua mambo“Lissu nimemjenga na nimemsaidia kwa mambo mengi. Unapokuwa hauna Shukrani kwa mambo madogo hauwezi kuwa na shukrani kwa mambo makubwa. Kuna wakati ninajiuliza huyu ni Lissu, the boy, the guy, the friend ndiyo anayasema haya?” Freeman Mbowe