Mbowe: Rais Samia haaminiki, aweke hadharani mkataba wa bandari ili tuuone

umeandika uongo
Mimi langu ni kukumbusha wewe, na kupitia kwako kuwakumbusha CHADEMA.

Hakuna wakati wowote CHADEMA ilipowahi kuwa na nafasi nzuri ya kuiondoa CCM madarakani zaidi ya wakati huu wa Samia.

Juhudi za +255 ni muhimu sana, lakini kuna mambo mengi sana yanayotakiwa kufanywa na chama tokea sasa na kuendelea kuhakikisha kwamba juhudi hizi kwa pamoja zinafanikiwa.

Hizo juhudi nyingine zote zinatakiwa kwenda sambamba na hizi zinazoonekana, tena kwa nguvu na kasi zaidi.

Hilo ndilo ombi langu kuu kwa viongozi wa CHADEMA sasa hivi.
 
Wewe ni mjinga. Umedanganywa kwa maneno nawe umehadaika. Leta mkataba hapa unaosema mkataba ni wa miaka 30. IGA tumeiona, ipo kwenye maandishi. Hatuwezi kuhadaika na maneno ya mdomoni bila uthibitisho.

Leta hapa IGA inayosema kuwa HGA zitakuwa za vipindi maalum, na kwamba nchi itakywa na uwezo wa kujitoa kqenye HGA wajati wowote itakapoona kuna sababu za msingi za kufanya hivyo.

Sisi wengine siyo wajinga wa kudabganyika kiurahisi kama mnavyodanganywa ninyi. Na tuna access ya kupata uwongo na hadaa zote wanazozjtengeneza.
 
Ushauri wako umepokelewa na unafanyiwa kazi
 
Huyu Mangi tapeli sana

Nadhani ile pesa aliyoomba ya kurejesha danguro lake imekwama

WAGALATIA WANA HASIRA SANA na vibaka wao ๐Ÿคฃ
 
Tatizo lako wewe huangalii maslahi ya waTanzania na nchi kwanza.

Unawazia tu UCHAWA basi.

Ndio maana unaandika mlolongo mwingi usiokuwa na ladha.

Jifunze.
 
Kulikoni mbona umeghairi kutundika namba yako ya simu kama kawaida!!! ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜†
 
Kweli nimeamini wewe huna akili hata kidogo.Tangia lini na wapi ambako mkataba wa kibiashara unaaanikwa hivyo kama soksi za viatu?
 
wenye nchi ni wananchi
Mkuu Erythrocyte , nakubaliana na wewe kwa asilimia 100% ya 100% kuwa wenye nchi ni wananchi, na sio tuu wenye nchi ni wananchi, bali wenye katiba ni wananchi, viongozi ni waajiriwa tuu wa wananchi, hivyo ni watumishi wa wananchi.

Katiba ya wananchi ndio iliyoweka utaratibu wa wananchi kuwachagua wawakilishi wao, hivyo kama wananchi wanataka kujua jambo lolote la watumishi wao au la serikali yao, watalijua kupitia kwa wawakilishi wao.

Nimeendesha darasa la elimu ya uraia humu kuhusu katiba, sheria, haki na wajibu,
karibu
- Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani?
P
 
Pascal Mayalla kasema Mbowe keshapigwa dafrao๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚
Mkuu Magonjwa Mtambuka , japo sijui umri wako, ila mimi ni mtu wa 60s, hivyo watu wa 60's tunahesabika humu jukwaani, hivyo baadhi yetu mimi nikiwemo tunajihesabu ni wazee, tunajiheshimu, na tumejitolea kuwafundisha nyinyi wadogo zetu heshima ya mijadala.

Humu JF tunabishana kwa hoja na sio kwa mtoa hoja. Post yangu Mbowe: Rais Samia haaminiki, aweke hadharani mkataba wa bandari ili tuuone nimesema hoja ya 255 okoa Bandari zetu ndio imepigwa dafrao na sio Mbowe amepigwa dafrao!.

Jadili hoja iliyo mezani, usijadili watu!.
P
 
Mzee asali aliyolamba imeshakwisha ladha. Waarabu wataharibu Mirija ya mabwanyenye pale bandarini mbaya kabisa.
 
Mbowe akili kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ