Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Well saidKijisifia utoto wa mjini ni ushamba na ulimbukeni tu. Mtu jisifie ume achieve nini kwenye maisha yako,kuwa mjini halafu huna mipango ya maana ni upumbavu mkubwa sana tu. Mbona Magufuli mliyemuta mshamba aliwapelekea moto hadi mkaukimbia mji wenyewe. Hizi ndiyo tunaita sifa za kijinga. Na mara nyingi hata ukiangalia mashoga wengi hapo mjiji ni wale wanajiita mabontauni,wanataka kuishi maisha ya kimjini wakati hawana mipango ya kupata pesa mwisho wake wanaishia kuwa mashoga.
Fala.Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.
Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.
Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.
So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.
Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.
Back to the point.
Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.
Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.
Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.
Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.
Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.
Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.
Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.
Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.
Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...
FAM mbele Kwa mbele
Acha basi upuuzi historia ya FAM kazaliwa machame na alianza masomo yake huko...Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.
Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.
Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.
So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.
Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.
Back to the point.
Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.
Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.
Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.
Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.
Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.
Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.
Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.
Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.
Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...
FAM mbele Kwa mbele
No huo ndo ukweli FAM mjini amekuja sio kazaliwa weeh bwege..According to Kingwendu
Unatakiwa kujua kuwa ccm Ina wenyewe ,hata chadema pia Ina wenyewe .
Sasa wenye chadema Yao sio LISSU , HECHE Wala LEMA.
LISSU na LEMA walikaribishwa chadema kutoka vyama vingine iweje wamseme vibaya mwenyekiti wao Kwa kuwa alimpokea LOWASSA kutoka ccm ?
Wenye chadema pamoja na Mbowe wasimame kweli kweli kuakikisha chadema inapata watu sahihi na sio mamluki kama LEMA NA LISSU.
Dispora pamoja na TEC wanatumia vibaya ushawishi na udhamini wao wakijua wanaijenga chadema ya Sasa kumbe wanaiaribu mfano hivi Sasa chadema imeshagawanyika, wanaomfuata Mbowe na wanaomfuata lisuu .
Kuna watu awatakiwi kabisa kuongea chochote juu ya chadema Kwa Sasa mfano Lissu , LEMA na HECHE
Hoja zake ni zipi mpaka sasa?Mawazo mapya ya kushinda mabarabarani bila strategic plan.
Lakini huo ndo mtindo uliozoeleka hasa kwny siasa za upinzani.Lissu hana mawazo mapya hata kidogo.unaweza kusema bila shaka yoyote atakachokifanya CDM baada ya kushinda ni papara papara na vijembe vingi.
Aiseemimi ni mpinzani since day one ashinde mbowe sawa ashinde lissu sawa
Njia sahihi ni kufanya uchaguzi huru na haki.Hapa tujadiliane NI IPI NJIA SAHIHI kwa Chadema kuweza kuyafikia malengo yake kwa wakati huu?
Subiri kimbunga tar 21, utajua pesa si kila kitu.Lissu hana mawazo mapya hata kidogo.unaweza kusema bila shaka yoyote atakachokifanya CDM baada ya kushinda ni papara papara na vijembe vingi.
Ungekuwa sehem ya watoa maamuzi ungependekeza nani achukue kijiti?Njia sahihi ni kufanya uchaguzi huru na haki.
Kawa boss wako sasaLissu hana mawazo mapya hata kidogo.unaweza kusema bila shaka yoyote atakachokifanya CDM baada ya kushinda ni papara papara na vijembe vingi.