Mbowe vs Lissu = Mtoto wa mjini VS Bushman.. Wewe upande Upi?

Mbowe vs Lissu = Mtoto wa mjini VS Bushman.. Wewe upande Upi?

Kijisifia utoto wa mjini ni ushamba na ulimbukeni tu. Mtu jisifie ume achieve nini kwenye maisha yako,kuwa mjini halafu huna mipango ya maana ni upumbavu mkubwa sana tu. Mbona Magufuli mliyemuta mshamba aliwapelekea moto hadi mkaukimbia mji wenyewe. Hizi ndiyo tunaita sifa za kijinga. Na mara nyingi hata ukiangalia mashoga wengi hapo mjiji ni wale wanajiita mabontauni,wanataka kuishi maisha ya kimjini wakati hawana mipango ya kupata pesa mwisho wake wanaishia kuwa mashoga.
Well said
 
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele
Fala.
 
Nianze Kwa kukutoeni wenge. Siasa ni mchezo mchafu.

Hakunaga mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili ya watu wengine.

Kila mwanasiasa yupo Kwa ajili ya maslahi Yake binafsi.

So kama una Amini Kuna mwanasiasa ambae yupo Kwa ajili yako Basi jua wewe bado mtoto mdogo.

Mbowe yupo Kwa ajili ya maslahi Yake na Lissu yupo Kwa ajili ya maslahi Yake.

Back to the point.

Vita Kati ya Lissu Vs Mbowe ni Vita Kati ya mtoto wa mjini Mbowe vs Bushman Lissu.


Mbowe akishindwa itakuwa ni pigo Kwa watoto WA mjini wote.


Kwamba Mbowe mtoto WA mjini kazidiwa mbinu na Lissu kutoka kijijini.


Yatakuwa ni yale Yale ya Nyerere vs Tanu.

Tanu watoto WA mjini wakazidiwa maarifa na Nyerere kijana kutoka Mkoa WA Mara ambae hata Kiswahili chake tu kilikuwa na Matege.


Uncle Mbowe ukishindwa uchaguzi huu utakuwa umewavua nguo watoto wote wa mjini.

Utafanya watoto WA mjini waonekane mafala tu mbele ya mabush men.


Go Mbowe.. I believe unaweza. Usikubali kushindwa na Bushman.

Wewe ni mtoto wa mjini. Huwezi shindwa na Mabush men...

FAM mbele Kwa mbele
Acha basi upuuzi historia ya FAM kazaliwa machame na alianza masomo yake huko...
Utasema je yeye ni mtoto wa mjini?
 
Unatakiwa kujua kuwa ccm Ina wenyewe ,hata chadema pia Ina wenyewe .
Sasa wenye chadema Yao sio LISSU , HECHE Wala LEMA.
LISSU na LEMA walikaribishwa chadema kutoka vyama vingine iweje wamseme vibaya mwenyekiti wao Kwa kuwa alimpokea LOWASSA kutoka ccm ?
Wenye chadema pamoja na Mbowe wasimame kweli kweli kuakikisha chadema inapata watu sahihi na sio mamluki kama LEMA NA LISSU.
Dispora pamoja na TEC wanatumia vibaya ushawishi na udhamini wao wakijua wanaijenga chadema ya Sasa kumbe wanaiaribu mfano hivi Sasa chadema imeshagawanyika, wanaomfuata Mbowe na wanaomfuata lisuu .
Kuna watu awatakiwi kabisa kuongea chochote juu ya chadema Kwa Sasa mfano Lissu , LEMA na HECHE

CCM haina wenyewe zaidi ya watanzania wa makabila yote na dini zote na rika zote.

Bashiru Ali alikua CUF ,ndani ya CCM akawa katibu mkuu .
Polepole alikua mrengo wa kina Slaa kwa misimamo akawa mwenezi.

Mbowe ni tapeli,muuaji ,mwizi,mkabila, jasusi la CCM ,mlevi wa pombe na madaraka,mzinzi, mdini aliyewakataa waislam kutoka CUF , ,msanii,gaidi ,na mkwepa kodi ,mchafuzi wa mazingira , muuza nchi na bandari zetu akishirikiana na matapeli ndani na nje ya nchi. Kiufupi Mbowe hafai kabisa kuongoza tena harakati hata za kitongoji zikafanikiwa.

Na kwa sababu tumeamua kumkataa basi akitumia udanganyifu kusalia kwenye kiti uchaguzi ujao chama chake hakitapa hata mbunge mmoja kwani Madudu yake yatawekwa adharani kwa 95% ,kwa sasa ni 5% tano tu ya Madudu yake yaliyoguswa kidogo ,tutaweka mpaka njama zake za ugaidi na mauaji mtabaki midomo wazi bila kufungwa.
 
LIKUD futa hii, wewe size yako ni mada za kugegeda vibinti under 18 tu.
 
Kwa hali ya sasa inayoendelea katika Siasa za Chama Kikuu cha Upinzani - CHADEMA, kumekuwa na mkinzano wa maoni kati ya pande mbili kuu:
1. Kuna wale wanaoamini kwamba Mh Mbowe anatakiwa kupewa nafasi kwa mara nyingine - bila kujali kipindi kirefu alichokuwa madarakani kwenye nafasi hiyo - aweze kukamilisha maono ya chama ikiwemo - bila shaka - kushika dola.
2. Kwa upande wa pili, kuna wale wanaoamini kwamba Mh Lissu ana mawazo mapya na motisha zaidi kuweza kuyafanikisha maono ya Chama.
.
Hapa tujadiliane NI IPI NJIA SAHIHI kwa Chadema kuweza kuyafikia malengo yake kwa wakati huu?
.
Karibuni
 
Mawazo mapya ya kushinda mabarabarani bila strategic plan.
 
Lissu hana mawazo mapya hata kidogo.unaweza kusema bila shaka yoyote atakachokifanya CDM baada ya kushinda ni papara papara na vijembe vingi.
 
mimi ni mpinzani since day one ashinde mbowe sawa ashinde lissu sawa
 
Lissu hana mawazo mapya hata kidogo.unaweza kusema bila shaka yoyote atakachokifanya CDM baada ya kushinda ni papara papara na vijembe vingi.
Lakini huo ndo mtindo uliozoeleka hasa kwny siasa za upinzani.
 
Lissu hana mawazo mapya hata kidogo.unaweza kusema bila shaka yoyote atakachokifanya CDM baada ya kushinda ni papara papara na vijembe vingi.
Subiri kimbunga tar 21, utajua pesa si kila kitu.
 
Tundu Lissu X John Heche is the Movement.
 
Back
Top Bottom