Chadema ni kubwa haitegemei mtu mmoja kufanya hamasa nikuulize kabla ya Lissu kujiunga Chadema nani alikuwa anafanya hamasa.Safari hii Mbowe atajua watu wamemchoka, hata akishinda kwenye hizo kura kwa kuhonga, bado hatakuwa na uwezo wa kupandisha hamasa ya wafuasinwa cdm. Ukweli ni kuwa wakati ukuta.
Nimeishia uliposema CCM wanamtumia Mbowe kuiua Chadema, inaonekana huijui Chadema.Yaani Mbowe sasa kawa rafiki wa maccm. Hata maneno ya maccm ya kusema vyama vya upizani vinashindwa kwasababu havikujipanga. Naye anasema Lissu hakujipanga huku akiwa anagawa hela kwa wajumbe. Ccm wanamtumia mbowe kuuwa chadema wakifikiri chadema ndio adui yao . Ila ccm wasicho juwa chadema imewasaidia kuendelea kuwa madarakani kama chadema asinge kuwepo ccm ingekuwa imeisha ondolewa . Hivi sasa ngoja chadema ichukuliwa na Mbowe imfia mikononi mwake. Halafu uone moto wake . Kama hakuna upizani unao aminika basi atatokea mtu anaye aminika na ataongoza wote walikata tamaa na utawala mbovu wa ccm na wataiangusha serikali.
Dr. Slaa.Chadema ni kubwa haitegemei mtu mmoja kufanya hamasa nikuulize kabla ya Lissu kujiunga Chadema nani alikuwa anafanya hamasa.
Ndio maana nikasema Chadema haitegemei mtu mmoja aondoke yeyote itapata mwingine.Dr. Slaa.
Achana na wanaharakati mkuu, Tundu Lissu ni mwanachama wa CHADEMA, Odero ni mwanachama wa CHADEMA, Mapunda ni mwanachama wa CHADEMA.Kama ni hivyo kwa nini wanaharakati wanalia mitandaoni kuwa Mbowe aachie kwa busara na si kwa box la kura?
TAL aachane na wanaharakati bali awashawishi wajumbe wampigie kura.
Shida ya chama chao kila mmoja mjuaji na kujifanya kuwa yeye ndio chama. Hii ya kujifanya kuwa mtu ndio chama imeshapitwa na wakati, na kama chama chao kitakuwa kimejijenga kwa sababu ya mtu basi CCM itatawala hadi mwisho wa dunia.
Taasisi inatakiwa kuwa na nguvu kuliko mtu. Watu wanakuja na kuondoka ila taasisi itabakia milele.
Kama chadema inasimama kwa sababu ya TAL basi kuna tatizo. Au unafikiri CCM/Serikali inaogopa maneno ya mtu? Ili taasisi isimame lazime ijijengee ideology ambayo ndio itakuwa inaendesha taasisi na sio mtu. We need strong institution and not a strong person.
Ndio maana Malema wa Afrika Kusini amebakia kupiga domo tu wakati wenzie wanachukua majimbo na kujenga taasisi zao. Zuma kasajili chama kipya na kilipata uwakilishi mkubwa kuliko Malema wa siku nyingi na chama chao.
Ok, basi tuache sanduku la kura liamue.Wote hao ni wanachama na hawajasema Mbowe aachie uenyekiti kwa busara.
Namaanisha kumuondoa Mbowe kwa kutumia uchaguzi wa kidemokrasia CHADEMA, kwani wapi nimesema Mbowe asishiriki uchaguzi?Kwa hiyo hoja ni kumuondoa na si kushindana kidemokrasia! Kama wamejitokeza wanaohitaji hiyo nafasi mimi naona ni jambo la heri kwa chama chao ili tuone demokrasia kweli ipo au limebaki jina tu.
Kama ni hivyo kwa nini wanaharakati wanalia mitandaoni kuwa Mbowe aachie kwa busara na si kwa box la kura?
TAL aachane na wanaharakati bali awashawishi wajumbe wampigie kura.
Shida ya chama chao kila mmoja mjuaji na kujifanya kuwa yeye ndio chama. Hii ya kujifanya kuwa mtu ndio chama imeshapitwa na wakati, na kama chama chao kitakuwa kimejijenga kwa sababu ya mtu basi CCM itatawala hadi mwisho wa dunia.
Taasisi inatakiwa kuwa na nguvu kuliko mtu. Watu wanakuja na kuondoka ila taasisi itabakia milele.
Kama chadema inasimama kwa sababu ya TAL basi kuna tatizo. Au unafikiri CCM/Serikali inaogopa maneno ya mtu? Ili taasisi isimame lazime ijijengee ideology ambayo ndio itakuwa inaendesha taasisi na sio mtu. We need strong institution and not a strong person.
Ndio maana Malema wa Afrika Kusini amebakia kupiga domo tu wakati wenzie wanachukua majimbo na kujenga taasisi zao. Zuma kasajili chama kipya na kilipata uwakilishi mkubwa kuliko Malema wa siku nyingi na chama chao.
Hapa bora angekaa kimya.Lawama bila ushahidi ni sawa na kelele, kaulizwa anaushahidi gani na hela za Abdul akadai mwenye ushahidi ni marehemu.
Hii ni comment bora ya kuingia nayo mwaka mpya 2025.
Hapa uchaguzi wa kweli uliopo si uenyekiti wa CHADEMA.Ok, basi tuache sanduku la kura liamue.
Mjumbe yeyote ambaye mpaka sasa hajui atampigia nani kura mpaka kwanza asikie sera za Mbowe na Lissu, kachelewa katika siasa na hafai katika cheo hicho labda hizo "sera" ziwe na mrengo wa financial benefits.The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Sera za Mbowe ni zipi?Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera
Hizi ramli tumeshazizoea.Akishindwa, CHADEMA kinaenda kuungana na vyama vingi vya kwenye briefcase vinavyoibuka wakati wa uchaguzi tu.
Kwahiyo hakuna haja ya wagombea kufanya kampeni, hii mbona mpya.Mjumbe yeyote ambaye mpaka sasa hajui atampigia nani kura mpaka kwanza asikie sera za Mbowe na Lissu, kachelewa katika siasa na hafai katika cheo hicho labda hizo "sera" ziwe na mrengo wa financial benefits.
Ilikuwa aende kozi gani ya kujiandaa kuwa Mkiti? Utaratibu gani aliouvuka au kuuacha?Lissu hakujiandaa kuwa Mkiti, alijiandaa kuwa makamu alikurupuka baada ya kuhisi Wenje atachukua nafasi yake hana mtu wa kufanyanae kazi kama makamu endapo atashinda.
Kupigania haki bila kufuata utaratibu ni fujo ndio maana tuhuma zake zinaonekana ni uzushi hazina tangible facts za uhakika.
Uko sahihi, lakini this time around Mbowe akiwa mwenyekiti tena, cdm itakuwa kama CUF.Ndio maana nikasema Chadema haitegemei mtu mmoja aondoke yeyote itapata mwingine.
Si usubiri tu, muda utaongea, unahemka nini?Hizi ramli tumeshazizoea.
Hivi huoni aibu kumuunga Mbowe mkono? Kabisa na akili zako timamu unamuunga Mbowe mkono dah!
Watu wenye mahaba na Mbowe hawataki kukubali ukweli huu.Uko sahihi, lakini this time around Mbowe akiwa mwenyekiti tena, cdm itakuwa kama CUF.